Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia, aliyekuwa mtayarishaji wa nyimbo za Sam wa Ukweli, Steve amesema Sam alikuwa akiumwa na walipomuuliza alisema ni UKIMWI wa kulogwa.
UKIMWI wa Kurogwa, au hujasoma hadi Mwisho? Taarifa imetaja kabisa, soma vizuri. Pumzika Kwa Amani!!Nini chanzo cha kifo chake?
Wenyewe wanasema ni UKIMWI wa kurogwa....lol.Nini chanzo cha kifo chake?
Kama ni HIV si useme tu....Hapana Mkuu acha nimstiri Marehemu.
Mbona jibu limeshatolewaNini chanzo cha kifo chake?
Pale Juu mwishoni mwishoni wameandika kua kuna Jamaa aitwa Steve kasema eti Sam alimwambia anaumwa UKIMWI ila ni wa KulogwaNini chanzo cha kifo chake?
Good morning my zariR.I.P
Mambo ya Ukimwi yaacheni kwanza!huo ukimwi unao tajwa kuwa uepungua kasi na bado uko, na watu wanasema vidonge vidonge mbona bado janga sana
Kwani alikuwa superstar mpaka aringe??sam alikuwa msanii