Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ka haaaaa kweli watu humu wamempatia kwa amajibuUnajua maana breaking news? Unajua maana ya news updates? Ukikuta mtu amefariki njiani hautakiwi kutoa taarifa hadi ujue chanzo chake? Kichwani mwako kuna ubongo au maganda ya karanga?
Kumbukumbu zinanionesha kipindi cha ujio wa Sam Wa Ukweli tayari Diamond alikuwa na ngoma 2 'Nenda kamwambie' na 'Mbagala'. Alipotoa SINA RAHA ulipendwa sana kiasi kwamba ikaonekana huyu kijana ni tishio kwa Diamond, lakini kumbe alipotoa na ile 'Hata Kwetu Wapo' ndo material yakawa yamekwisha hakuweza kuwika tena hadi Leo hii hatupo naye. Ni the same as Top C, hawa walitoka pamoja na wakapotea pamoja 'One hit wonders'Alikua star kipindi hicho ila ujio wa simbaa ukampoteza yy na yule mchizi wa tanga top c.... ila sam hata kipind hicho yupo kwenye headline alikua poa tu ila ndio hivyo tusiseme mengi ati kisa ni marehem R.I.P
Jamani kwanini watu hawajikubali? Kuna Ukimwi wa kurogwa? Daah Pumzika kwa amani Sam.
HakikaKumbukumbu zinanionesha kipindi cha ujio wa Sam Wa Ukweli tayari Diamond alikuwa na ngoma 2 'Nenda kamwambie' na 'Mbagala'. Alipotoa SINA RAHA ulipendwa sana kiasi kwamba ikaonekana huyu kijana ni tishio kwa Diamond, lakini kumbe alipotoa na ile 'Sina Raha' ndo material yakawa yamekwisha hakuweza kuwika tena hadi Leo hii hatupo naye. Ni the same as Top C, hawa walitoka pamoja na wakapotea pamoja 'One hit wonders'
haaaaa haaaa jamani utaniua mbavu zangu haaa yani huyu kakooooma tena kakoma sana sijui wa wap huyumisongo ya mawazo hiii, wewe utakua unatoka mpakani na akili yako haijijui ipo nch gan na bichwa lako limejaa pepeta na mabunda
Ni.kweliSielewi vizuri tofauti ya superstar na msanii, ila kuna wengine akitoa nyimbo moja tu basi washkaji anawakaushia, Sam alikuwa mtu wa watu sana.
Mke wake wa kwanza tumesoma nae yule dada so ugonjwa wa huyu kaka naujua kidogo.Huwezi kujua kuwa dunia Ina mambo mpaka likukute jambo
Maisha ni Safari ndefu sana na dunia Ina mengi sana......
Mshukuru Mungu kwa kila jambo.....
Jiweke mbali na kuwasemea watu na kuwahukumu Kwani wahusika ndio wanaoujua ukweli ambao wewe unauona nje......
DUNIA INA MAMBO NA HUWEZI KUJUA MPAKA LIKUKUTE JAMBO
Utajijuaaaaa.......Chanzo tafuta na wewe acha ubwenyenye
Mwanamke shobo babu weeeeUnajua maana ya breaking news weweeeee...au ndo vile shobo
a kidogo tu dada sio vibaya tukajua kulikoni wote tutakufa tuMke wake wa kwanza tumesoma nae yule dada so ugonjwa wa huyu kaka naujua kidogo.
Sio busara nikiuongelea.
sasa ukalale sio kwa makavu haya utakayoyapata humu, haloooooooYaaan kisa umeona insta sudy kapost huna hata habari kamili about kifo chake includin chanzo ushakimbiliaa kupost khaaaa watu bwana yaan wanaume wa siku hizi mmekosa uvumilivu chaaa......haya tuambieee chanzo!!!
Rest in Peace sam wa ukweli
Hapana Mkuu acha nimstiri Marehemu.onge
a kidogo tu dada sio vibaya tukajua kulikoni wote tutakufa tu