wengi watafuata mkuu,kwa wasanii ukimwi ni kugusa tu wengi wameungua. time will tellChain aliyooacha nyuma ndiyo inayoniumiza kichwa, manake wanabadilishanaga tu kama mashati, wasanii wasipojiangalia watakufa sana, ukimwi upo na unaua jamani
Hahah[emoji2]Naomba ufute hiyo kauli mkuu...
Mimi ni Me....
Vvu vina uwezo wa kuishi kwenye mate?
Kwa hiyo tusema mtu ambaye hana vvu akiingiza mara moja tu kwenye uchi wa mwanamke mwenye vvu tayari kaunasa?
Embu kuwa serious bhasi....
Upo aisee hasa maeneo ya usukumaniEti wa kurogwa! hii kali
Nisaidie hapo white kuna ukweli wowote eti?Aiseee
Nisaidie hapo white kuna ukweli wowote eti?
Na michubuko kutoka ni kwamba mlikuwa mnacheza mieleka au mnafanya rough sex kukomoana.....Mpaka kutokee michubuko
Mkifanya rough sex michubuko lazima haikwepeki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti kucheza mieleka nimecheka mieNa michubuko kutoka ni kwamba mlikuwa mnacheza mieleka au mnafanya rough sex kukomoana.....
Ule mchezo hautaki hasira just relax kuwa romantic na ingia kistaarabu michubuko haitokuja ikae itokee ....[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Na sidhani kuna mwanamke atakubali kuingiliwa huko chini kukiwa dry kwa kweli labda aingiliwe kinguvu bila idhaa yake.....Mkifanya rough sex michubuko lazima haikwepeki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti kucheza mieleka nimecheka mie
Labda ubakwe tuNa sidhani kuna mwanamke atakubali kuingiliwa huko chini kukiwa dry kwa kweli labda kwa aingiliwe kinguvu bila idhaa yake.....
"Ukimwi wa kulogwa"Nini chanzo cha kifo chake?
Sure though kinga ni muhimu ingawa nyama nyama ina utamu wake [emoji39] [emoji39]Labda ubakwe tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeee kijiji cha wapi hichoAlikujaga kupiga shoo huku kijijini kwetu,(sio mjini kivile), kesho yake tukasikia bado hajaondoka, tukatuma watu wamfuate ilesehemu aliyofikia, hakusema niko bize, au mimi msanii sitakiwi kuzagaa ovyo ovyo, alikuja tu fresh, tukapiga stori muda mrefu sana, akatugea na namba tukawa tunampigia. Ukitaka kupiga unawashtua washkaji, nataka kumpigia Sam, basi ukiongea kidogo unampa na mshikaji, Ongea na flani.. Fresh yani..