Nimekusaka sana ujue.daaaah!binamu pole sana
Kwenye mambo ya msiba huwa kuna privacy?Amekuruhusu upost humu? Huoni mtaaribu privacy za watu kama hajaruhusu?
binamu nilikua busy kidogo aiseeehh!acha tu huzuni sanaNimekusaka sana ujue.
mpk ameposti ujue mwenyewe karuhusu!Amekuruhusu upost humu? Huoni mtaaribu privacy za watu kama hajaruhusu?
Ndio hivyo mama.binamu nilikua busy kidogo aiseeehh!acha tu huzuni sana
aisseehhh!Ndio hivyo mama.
Labda hujanielewa... Kuna mwingine akifiwa ili kuendelea kulinda privacy yake humu hatataka msiba wake utangazwe humu. Kuna members wanafiwa na wengine wanafariki lakini majina yao ya humu hayawekwi wazi. Refer kifo cha Deo Filikunjombe Mods waliishia kusema tu alikuwa member mwenzetu mzuri tu humu..Kwenye mambo ya msiba huwa kuna privacy?