TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

POleni sana wafiwa. Mungu yu pamoja nanyi kwenye wakati huu mgumu. Poleni sana@ Heaven Sent.
 
Msiba wapi tushiriki wajamen
 
My deepest sympathy to 'Heaven Sent' and her family. May her father's soul rest in peace. Time will heal the scar left by life. We pray for the family to be strong.
 
Mkuu mimi sio mwendawazimu mpka nije kusema jambo kubwa kama hili bila kuwa na uhakika.

Offcourse nimeongea na Heaven leo asubuhi baada ya Mzee wake kupata huo mshituko baadae mchana ananitaarifu tayari mzee kishakata roho
Am sorry mkuu,
Hakuna mtu yeyote anayeweza kunifanya niiamini hii taarifa zaidi ya Muhusika mwenyewe Heaven Sent ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…