Picha hujaiona?Pole kwa Mzee Mwinyi na Rais Mwinyi.
Hii habari sehemu nyingine imeripotiwa kama aliyefariki ni mzee mwenyewe.
Hawana uhusiano zaidi yq mfanano wa jina la ubiniDada yao SSH naye Kafiwa mjue!
Inajulikana pasi na shaka kuwa SSH ni binti ya Ruksa!Hawana uhusiano zaidi yq mfanano wa jina la ubini
Hii picha mbona inaonekana ya zaman sana, inamaana ndugu wa raisi na mtoto wa raisi mstaafu hakuwa na picha nyingine?
Maadam baba yao yupo basi aliyefiwa ni baba yao.
Duh polen aiseeeMaumivu ya KICHWA huanza taratiiibu, Poleni wafiwa.
Sie huku tumefiwa, Hospitali wamekatalia mwili Hadi tulipe pesa ya mwisho.