Kwani marehemu anaitwa nani na baba yake anaitwa nani?Kuna makabila mengine hili ni jina apewalo mjukuuu
anyway sijui ilikuwaje kaka akapewa jina lifananalo na la baba ama is a brother from another mother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani marehemu anaitwa nani na baba yake anaitwa nani?Kuna makabila mengine hili ni jina apewalo mjukuuu
anyway sijui ilikuwaje kaka akapewa jina lifananalo na la baba ama is a brother from another mother
Nilifikiri nimeliona peke yangu. Nahisi kutokujulikana kwake kuna maanisha alikuwa 'black sheep' wa familia.Hii picha mbona inaonekana ya zaman sana, inamaana ndugu wa raisi na mtoto wa raisi mstaafu hakuwa na picha nyingine?
Btw: RIP Hassani.
Ya hata mimi nahisi hivyo mkuu.Nahisi kutokujulikana kwake kuna maanisha alikuwa 'black sheep' wa familia.
Ndiyo maanake! Bado nchi ngumu hii ona! Ritzone mtoto wa maza alitoka na mshua wa msoga! Mshua kiwembe si mchezo mwangalie Ritz utaamini. Hivi Rais zenji mtoto wa Ali hassam Mwinyi.Weeee! Kwahiyo broo na sista wanaongoza nchi?
Nani alikuambia mwisho wa kuwaka tamaa ni wake wanne.Kama itatokea nikaslimu basi itakuwa ni kwa sababu hii, ile ya kuoa wake mpaka wanne na wale mabikra peponi. Nashawishika sana yaani [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Babu Kama babu[emoji23]Kama itatokea nikaslimu basi itakuwa ni kwa sababu hii, ile ya kuoa wake mpaka wanne na wale mabikra peponi. Nashawishika sana yaani [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Yaani navutiwa sana mjukuu. Kwani taratibu za kusilimu zikoje? 😁😁Babu Kama babu[emoji23]
Nani amesema kuwaka tamaa? Hata sijui unaongelea nini mkuu!Nani alikuambia mwisho wa kuwaka tamaa ni wake wanne.
Kwa jina Yesu nakuombea ,siko tayari kabisa uende kuzimu [emoji125][emoji40]Kama itatokea nikaslimu basi itakuwa ni kwa sababu hii, ile ya kuoa wake mpaka wanne na wale mabikra peponi. Nashawishika sana yaani [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Una maana gani mkuu?Kwa jina Yesu nakuombea ,siko tayari kabisa uende kuzimu [emoji125][emoji40]
Wakati huo wewe ulikuwa Nani? kuwadi ? ama kujitia ujuaji tu kwenye familia za watu....Mzee Mwinyi alipokuwa Zanzibar, Mama yake Samia alikuwa secretary wake! Kabla Samia hajazaliwa so tumia akili mtu wangu! Ni dondoo zinazoelekea ukweli huku kitaa.
kwahyo dini yako ndio mnaenda peponi ?Kwa jina Yesu nakuombea ,siko tayari kabisa uende kuzimu [emoji125][emoji40]
Mbona habari inasema mtoto wa rais mstaafu mwinyi amefiwa na mwanaye?Hata mm mwanzo nilidhani Ni yey mzee amebaki anazika wanae
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app