TANZIA Tanzia: Mzee Ali Hassan Mwinyi afiwa na mwanaye anayeitwa Hassan Ali Hassan Mwinyi

TANZIA Tanzia: Mzee Ali Hassan Mwinyi afiwa na mwanaye anayeitwa Hassan Ali Hassan Mwinyi

Damu ni nzito kuliko maji, kaka mtu huyo! Hii kitu niliijuwa kwa kuchelewa nikajiuliza nilikwama wapi? Inasemekana tutoto twa mcheps tuna bahati na akili pia. Hapa nawaza nimtegeshee nani huwezi juwa huko mbele.
Polen wafiwa
Nitegeshee mm mkuu[emoji12][emoji39]
 
Hhhhhhhh Uislamu ndo unatuamrisha ivo

wale wanokaa na Maiti wiki,mwezi hatujawahi kusikia kma wameamka
 
Mzee Mwinyi alipokuwa Zanzibar, Mama yake Samia alikuwa secretary wake! Kabla Samia hajazaliwa so tumia akili mtu wangu! Ni dondoo zinazoelekea ukweli huku kitaa.
Kwa sababu mtu akiwa secretary lazima azae na boss wake au sijakuelewa? Uvumi wa hovyo Sana huo.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Au huyu marehemu Ni mtoto wa mam mwingine mke wa Kwanza nn ndio azikwe Zanzibar

Ni Jana tu kak ake alikuwa anafoka ktk television mnk nae haipiti siku ajaongea na kufnya mikutano yaani kila siku yupo ktk coverage ya vichwavya hbr za magazeti

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Islam kusafirisha.maiti tunaiga upande wa pili

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi amefiwa na Kaka yake Hassan Ali Hassan Mwinyi Leo Mazishi yatafanyika leo Alasiri Mangapwani Zanzibar ambapo watu pamoja na Mwili wa Marehemu wataondoka nyumbani Chukwani Saa Saba na Nusu

Inalillahi waina ilaihi rajiuna

---

Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Hassan Ali Hassan Mwinyi, mtoto wa Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi na kaka wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi. Nawapa pole wanafamilia kwa msiba huu. Mwenyezi Mungu amrehemu Hassan na amjaalie Pepo. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiuun.

R.I.P - Kwahiyo ni kaka yake Mama au?
 
Kwa sababu mtu akiwa secretary lazima azae na boss wake au sijakuelewa? Uvumi wa hovyo Sana huo.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kweli lakini! Mzee alikuwa kiwembe wakati wake!! Kwa wale wahenga wenzangu na mliopata kuwa Kairo wakati mzee akiwa balozi kule alikuwa anatupa pochi tumletee wanafunzi mabinti wa vyuo tulikokuwa tunasomea! Mzee alikuwa si mchezo!
Tusisukumane tutoe maelezo zaidi. Mzee hakuwa mwizi lakini kwenye marinda---!!
 
Back
Top Bottom