Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Kafanana sana na mzee Mwinyi.
Mungu akusamehe dhambi zako marehemu
Mungu akusamehe dhambi zako marehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maumivu ya KICHWA huanza taratiiibu, Poleni wafiwa.
Sie huku tumefiwa, Hospitali wamekatalia mwili Hadi tulipe pesa ya mwisho.
Kuna makabila mengine hili ni jina apewalo mjukuuuMpeni pole.
Ina maana ni mtoto wa Mzee Mwinyi?
Mpeni pole Mheshimiwa pia.
Kauli za mawaziri hazizingatiwi ama hawajatoa waraka kwa hospital zaidi ya majukwaani?Maumivu ya KICHWA huanza taratiiibu, Poleni wafiwa.
Sie huku tumefiwa, Hospitali wamekatalia mwili Hadi tulipe pesa ya mwisho.
Wazike wenyewe, maana hapo ndipo tulipofikia kama Nchi.Poleni sana
Kama ni DSM fika ofisi ya Mkuu wa Mkoa, kusaidiwa.
Hawana habari, Jirani yetu alifariki getini alipozuiwa kuingia Hospitali kujifungua sababu hakuwa na pesa ya kufungua file.Kauli za mawaziri hazizingatiwi ama hawajatoa waraka kwa hospital zaidi ya majukwaani?
Tozo Tozo Tozo ukienda kutafuta popote tozo tuMaumivu ya KICHWA huanza taratiiibu, Poleni wafiwa.
Sie huku tumefiwa, Hospitali wamekatalia mwili Hadi tulipe pesa ya mwisho.
Poleni ndugu yangu, Mungu awape wepesi.Maumivu ya KICHWA huanza taratiiibu, Poleni wafiwa.
Sie huku tumefiwa, Hospitali wamekatalia mwili Hadi tulipe pesa ya mwisho.
Ndio raha ya uislamu, sio mnakaa na mwili Hadi keroMnanifurahishaga sana Waislamu. Mtu unakata moto leo na unazikwa leo hii hii. Hakuna mbwembwe za majeneza ya gharama kubwa, sare, maua na utopolo mwingine. Safi sana aisee...
Apumzike salama aliyetangulia na waliobaki Allah Awape nafuu [emoji1545]
Kama itatokea nikaslimu basi itakuwa ni kwa sababu hii, ile ya kuoa wake mpaka wanne na wale mabikra peponi. Nashawishika sana yaani 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Ndio raha ya uislamu, sio mnakaa na mwili Hadi kero
Huyu mleta mada amekosea, ni Hassan Ali Hassan MwinyiKuna makabila mengine hili ni jina apewalo mjukuuu
anyway sijui ilikuwaje kaka akapewa jina lifananalo na la baba ama is a brother from another mother
Dada yao SSH naye Kafiwa mjue!