TANZIA Tanzia: Mzee Ali Hassan Mwinyi afiwa na mwanaye anayeitwa Hassan Ali Hassan Mwinyi

TANZIA Tanzia: Mzee Ali Hassan Mwinyi afiwa na mwanaye anayeitwa Hassan Ali Hassan Mwinyi

Mtoto wa Rais wa awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi amefiwa na mwanaye aitwaye Hassan.

Kufuatia kifo hicho Rais Samia aliandika kupitia twitter “nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Hassan Ali Hassan Mwinyi, mtoto wa Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi na kaka wa Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi".

"Nawapa pole wanafamilia kwa msiba huu. Mwenyezi Mungu amrehemu Hassan na amjaalie pepo. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiuun.”
 
Poleni Huyu ni WA mpango wa kando au?mbona mbara Kabisa pure
 
Mnanifurahishaga sana Waislamu. Mtu unakata moto leo na unazikwa leo hii hii. Hakuna mbwembwe za majeneza ya gharama kubwa, sare, maua na utopolo mwingine. Safi sana aisee...

Apumzike salama aliyetangulia na waliobaki Allah Awape nafuu [emoji1545]
Alfu unakuta Ni mtot wa Royal familia anazikwa faster faster duh waislamu ipo siku mtamzika mtu akiwa hai nawaambieni.

Ikute hii mziba umetokeaa uchangani aise mazishi yatawekewa kamati maalumu ya week nzima alfu Kama Ni Leo kafa mpk jnne akazikwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Au huyu marehemu Ni mtoto wa mam mwingine mke wa Kwanza nn ndio azikwe Zanzibar

Ni Jana tu kak ake alikuwa anafoka ktk television mnk nae haipiti siku ajaongea na kufnya mikutano yaani kila siku yupo ktk coverage ya vichwavya hbr za magazeti

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom