Jayden News
Member
- Aug 28, 2022
- 29
- 94
pole yake.Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi amefiwa na Kaka yake Hassan Ali Hassan Mwinyi Leo Mazishi yatafanyika leo Alasiri Mangapwani Zanzibar ambapo watu pamoja na Mwili wa Marehemu wataondoka nyumbani Chukwani Saa Saba na Nusu
Inalillahi waina ilaihi rajiuna
MkuuMaumivu ya KICHWA huanza taratiiibu, Poleni wafiwa.
Sie huku tumefiwa, Hospitali wamekatalia mwili Hadi tulipe pesa ya mwisho.
Ungependa ajibuje Madame?Ina maana ni mtoto wa Mzee Mwinyi?
Mzee Mwinyi alipokuwa Zanzibar, Mama yake Samia alikuwa secretary wake! Kabla Samia hajazaliwa so tumia akili mtu wangu! Ni dondoo zinazoelekea ukweli huku kitaa.Hawana uhusiano zaidi yq mfanano wa jina la ubini
Prove it🙃🙃Mzee Mwinyi alipokuwa Zanzibar, Mama yake Samia alikuwa secretary wake! Kabla Samia hajazaliwa so tumia akili mtu wangu! Ni dondoo zinazoelekea ukweli huku kitaa.
Majungu na umbea at workInajulikana pasi na shaka kuwa SSH ni binti ya Ruksa!
Story za vijiweni tuMzee Mwinyi alipokuwa Zanzibar, Mama yake Samia alikuwa secretary wake! Kabla Samia hajazaliwa so tumia akili mtu wangu! Ni dondoo zinazoelekea ukweli huku kitaa.
Hata mm mwanzo nilidhani Ni yey mzee amebaki anazika wanaePole kwa Mzee Mwinyi na Rais Mwinyi.
Hii habari sehemu nyingine imeripotiwa kama aliyefariki ni mzee mwenyewe.
Kwa hyo Ni mtu na kak ake ndio wanaongoza mataifa haya mawili inawezekana lkn nchi kila kitu kinawezekana ukiwa ktk systemInajulikana pasi na shaka kuwa SSH ni binti ya Ruksa!
Alfu unakuta Ni mtot wa Royal familia anazikwa faster faster duh waislamu ipo siku mtamzika mtu akiwa hai nawaambieni.Mnanifurahishaga sana Waislamu. Mtu unakata moto leo na unazikwa leo hii hii. Hakuna mbwembwe za majeneza ya gharama kubwa, sare, maua na utopolo mwingine. Safi sana aisee...
Apumzike salama aliyetangulia na waliobaki Allah Awape nafuu [emoji1545]
Sasa wakae na mwili waufanyie nini?Kafa leo azikwa leo? Pole kwa wafiwa.
Weeee! Kwahiyo broo na sista wanaongoza nchi?Inajulikana pasi na shaka kuwa SSH ni binti ya Ruksa!