TANZIA Tanzia: Mzee Ali Hassan Mwinyi afiwa na mwanaye anayeitwa Hassan Ali Hassan Mwinyi

Damu ni nzito kuliko maji, kaka mtu huyo! Hii kitu niliijuwa kwa kuchelewa nikajiuliza nilikwama wapi? Inasemekana tutoto twa mcheps tuna bahati na akili pia. Hapa nawaza nimtegeshee nani huwezi juwa huko mbele.
Polen wafiwa
Nitegeshee mm mkuu[emoji12][emoji39]
 
Hhhhhhhh Uislamu ndo unatuamrisha ivo

wale wanokaa na Maiti wiki,mwezi hatujawahi kusikia kma wameamka
 
Mzee Mwinyi alipokuwa Zanzibar, Mama yake Samia alikuwa secretary wake! Kabla Samia hajazaliwa so tumia akili mtu wangu! Ni dondoo zinazoelekea ukweli huku kitaa.
Kwa sababu mtu akiwa secretary lazima azae na boss wake au sijakuelewa? Uvumi wa hovyo Sana huo.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Islam kusafirisha.maiti tunaiga upande wa pili

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
R.I.P - Kwahiyo ni kaka yake Mama au?
 
Kwa sababu mtu akiwa secretary lazima azae na boss wake au sijakuelewa? Uvumi wa hovyo Sana huo.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kweli lakini! Mzee alikuwa kiwembe wakati wake!! Kwa wale wahenga wenzangu na mliopata kuwa Kairo wakati mzee akiwa balozi kule alikuwa anatupa pochi tumletee wanafunzi mabinti wa vyuo tulikokuwa tunasomea! Mzee alikuwa si mchezo!
Tusisukumane tutoe maelezo zaidi. Mzee hakuwa mwizi lakini kwenye marinda---!!
 
Majina haya mbona kutuchanganya siee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…