TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

Inachanganya sana
Ukisoma post #5👇

 
huu unabii wa karne hii huu mmmhh.wakristo mjitafakari sio kila ukilala ukaamka unajiita nabii,hiv mnajua hata sifa za binadamu kuitwa nabii??
Usitupangie,mbona kuna wabeba majini wakina sharifu manawaamini,same game defferent players
 
nabii wa kike😂😂😂 Mungu apokee kiumbe chake akiweke sehemu stahiki
 
Mlango WA Unabii na Utume ulishafungwa kitambo!

Ukiona hizi takataka mambo Leo jua ni matapeli tu WA kawaida waliojiajiri kwenye sekta ya injili!
 
Hivi Jina "Nabii' alilipataje?
Nani alimpa?
Au alijipa yeye mwenyewe?
Kama alikuwa kweli anatimiza mapenzi ya Mola RIP Madam.
Kama alikuwa anafanya yale ya "wale manabii" wengine ni majuto
 
Binamu kama mkiambiwa kuchagua wewe nichague tu nisije patwa na wengine wasinionee huruma.

Na nasikia hakuna kupika wala kwenda kazini, ni humu tuuuu…🤣
 
Binamu kama mkiambiwa kuchagua wewe nichague tu nisije patwa na wengine wasinionee huruma.

Na nasikia hakuna kupika wala kwenda kazini, ni humu tuuuu…🤣
Upike umpikie nani, kule ni BAFUNIKA, BAFUNUA😂, Hakuna kwenda kazini, KAZI ni 1 tu 🤣😂

Nitakuchagua binamj, usijali kabisa, utakuwa hurain wangu huko
 
Kanisa lake lilijifia siku nyingi tuu
Uko sahihi 100% Mkuu. Baada ya kuacha kubakia Yeye kama Yeye Mtumishi wa Mungu asiyekuwa na mambo ya Kidunia na kuamua rasmi kuanzisha Mahusiano na Kijana Mmoja hivi wa Fursa aitwae Daniel ( Danny ) ambaye ni Daktari aliyeanza kwenda / kuhudhuria hapo Kanisani Kwake kama Mgonjwa na alipopona tu Mioyo yao ikapendana na wakaanzisha Mahusiano na hapo ndipo ile Nguvu ya Mtumishi Nabii Flora Peter ilipoanza Kupungua na hadi kuanza Kukimbiwa hasa na Mtumishi Mtiifu wake aitwae Raphael ( japo Watumishi wengine Watiifu akina Komba na Octavian ) walikuwa wakija na kuondoka kwani Kisirisiri nao walikuwa wamejiunga na Kanisa la Mzee Lupindo pale Kawe hivyo akabakia na Mtumishi wa Kike Mchumia Tumbo Mchagaa aitwae Pastor Julie ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi pale Ilala Msimbazi Center.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…