TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

TANZIA Tanzia nabii Flora Peter, amefariki dunia katika Hospitali ya Kitengule Jijini Dar es salaam

Huko daslam kila mtu ni nabii🙆🙆
Kuna familia naijua kuna nabii mwanamke nae yupo daslam, kawa mweupeee kajikondeshaaa, anaishi mbezi Beach anapenda kutukuzwa kama malkia au mfalme afanyiwe kila kitu na wajinga wapo wanamfanyia, ana kisirani na maringo km ndie Maria mzaa yesu, familia husika kaigawanya sababu ya majungu na kuamka kuita wasiomuamini kuwa ni wachawi yani ni vituko show
 
Kuna familia naijua kuna nabii mwanamke nae yupo daslam, kawa mweupeee kajikondeshaaa, anaishi mbezi Beach anapenda kutukuzwa kama malkia au mfalme afanyiwe kila kitu na wajinga wapo wanamfanyia, ana kisirani na maringo km ndie Maria mzaa yesu, familia husika kaigawanya sababu ya majungu na kuamka kuita wasiomuamini kuwa ni wachawi yani ni vituko show
Aaah hawa manabii kiboko🙆🙆🙆
 
Uko sahihi 100% Mkuu. Baada ya kuacha kubakia Yeye kama Yeye Mtumishi wa Mungu asiyekuwa na mambo ya Kidunia na kuamua rasmi kuanzisha Mahusiano na Kijana Mmoja hivi wa Fursa aitwae Daniel ( Danny ) ambaye ni Daktari aliyeanza kwenda / kuhudhuria hapo Kanisani Kwake kama Mgonjwa na alipopona tu Mioyo yao ikapendana na wakaanzisha Mahusiano na hapo ndipo ile Nguvu ya Mtumishi Nabii Flora Peter ilipoanza Kupungua na hadi kuanza Kukimbiwa hasa na Mtumishi Mtiifu wake aitwae Raphael ( japo Watumishi wengine Watiifu akina Komba na Octavian ) walikuwa wakija na kuondoka kwani Kisirisiri nao walikuwa wamejiunga na Kanisa la Mzee Lupindo pale Kawe hivyo akabakia na Mtumishi wa Kike Mchumia Tumbo Mchagaa aitwae Pastor Julie ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi pale Ilala Msimbazi Cente
Aise we kweli kiboko unamjua vizuri hayati Nabii florah, Danny hakuwa daktari alikuwa kijana amemaliza feza sekondari tuu. na sasa kapagawa kidogo akili nilimuona anatembea kwa mguu bonde la magomeni kwenda faya anaongea peke yake. Mungu amrehemu nabii florah
 
Aise we kweli kiboko unamjua vizuri hayati Nabii florah, Danny hakuwa daktari alikuwa kijana amemaliza feza sekondari tuu. na sasa kapagawa kidogo akili nilimuona anatembea kwa mguu bonde la magomeni kwenda faya anaongea peke yake. Mungu amrehemu nabii florah
Kati ya Waumini wake wa Kwanza 11 tuliokuwa tukisali nae pale Mbezi Beach Maguruwe katika Nyumba ya Willy ( Wile ) kati ya mwaka 2011 hadi 2012 ( akitokea Kigamboni alikokuwa akihudumu chini ya Mtumishi mmoja mkubwa tu kule ) nami GENTAMYCINE nilikuwa ni Mmoja wapo. Na labda leo kupitia hapa niseme tu kuwa Marehemu kwa kiasi fulani alinibariki mno kwa Maombi yake Kipindi kile ana Nguvu na alikuwa ni Mtu wangu wa karibu na tulizoeana na alinipenda mno ila baadae Majukumu mengine yalinipata na nikaanza kuwa nae mbali japo kila mara nilipokuwa Mjini nilikuwa nikienda Kumtembelea. Na nakumbuka hata mara ya mwisho nilipokutana nae mwaka 2021 alinilaumu mno kwa Kupotea na Kumtenga huku akiniambia kuwa ilikuwa kidogo Afe kwani alikuwa ndiyo ametoka Kulazwa na kufanyiwa Oparesheni ya Utumbo tatizo ambalo nadhani huenda ndiyo likawa kwa kiasi fulani limechangia kuondoa Uhai wake. Nje ya Majukumu yake ya Kiimani ( kuwa Nabii na Mtumishi ) Flora Peter alikuwa ni Dada Mcheshi, Mkarimu na mwenye Huruma sana hivyo hata kama Watu wengi hapa katika hii Thread watamsema vibaya na Kumchafua ila alikuwa ni Dada wa Kipekee kama ukipata bahati ya kuwa nae Karibu.

Mwenyezi Mungu ailaze Roho yake Nabii Flora Peter mahala pema Peponi. Nimepoteza Rafiki mzuri na Dada mwema.
 
Uko sahihi 100% Mkuu. Baada ya kuacha kubakia Yeye kama Yeye Mtumishi wa Mungu asiyekuwa na mambo ya Kidunia na kuamua rasmi kuanzisha Mahusiano na Kijana Mmoja hivi wa Fursa aitwae Daniel ( Danny ) ambaye ni Daktari aliyeanza kwenda / kuhudhuria hapo Kanisani Kwake kama Mgonjwa na alipopona tu Mioyo yao ikapendana na wakaanzisha Mahusiano na hapo ndipo ile Nguvu ya Mtumishi Nabii Flora Peter ilipoanza Kupungua na hadi kuanza Kukimbiwa hasa na Mtumishi Mtiifu wake aitwae Raphael ( japo Watumishi wengine Watiifu akina Komba na Octavian ) walikuwa wakija na kuondoka kwani Kisirisiri nao walikuwa wamejiunga na Kanisa la Mzee Lupindo pale Kawe hivyo akabakia na Mtumishi wa Kike Mchumia Tumbo Mchagaa aitwae Pastor Julie ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi pale Ilala Msimbazi Center.
Kiongozi umepita mulemule
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naambiwa Nabii Flora amefariki jana akipatiwa matibabu hospital ya rabinisya Tegeta

Naambiwa msiba upo salasala nyumbani kwake na pia kwenye Kanisa lake na nje ya Kanisa kuna viti vimepangwa

Kana taarifa zina ukweli naomba nitoe pole Kwa Ndugu, jamas na waamini wote.

Alikuwa Nabii mkubwa aliyejitoa kwa kazi ya Mungu

Mwenye taarifa zaidi atujuze

=====

TANZIA NABII FLORA AMEFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITALI YA KITENGULE JIJINI DAR ES SALAAM ,
View attachment 3053833
MSIBA UKO KANISANI KWAKE MBUYUNI NJIA YA KUINGILIA SALASALA UPANDE WA KULIA.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, APUMZIKE KWA AMAN AMEEN.

DR. CATHERINE YATOSHA

Kwa masikitiko makubwa kabisa tumeondokewa na dada yetu mpendwa Nabii Frolah Peter Makunga amefariki Jana jioni Tarehe 25/7/2024 hapo Dar es salaam Katika hospital ya KITENGULE - TEGETA * alipokuwa akipatiwa matibabu kwa muda, tunafanya utaratibu wa kusafirisha *Shinyanga kwaajili ya mazishi kijijini kwao LOHUMBO kata ya NYIDA Shinyanga Vijijini.

Bwana alitoa na bwana ametwaa hivyo jina lake na libarikiwe.


Hii ni taarifa ya awali

HISTORIA FUPI
View attachment 3053832
Bwana Yesu Asifiwe, anaitwa Nabii Flora Peter wa Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi Mbezi Beach Salasala hapa jijini Dar es Salaam.

Alianza huduma Mbezi mwaka 2010, alianza peke yake bila ya mtu yeyote yule, akawa anafanya huduma yake nje na hakuwa na sehemu rasmi kwaajili ya kazi ya Mungu ,kwahiyo akawa anafanyia maombezi nyumbani.

Alikuwa anmuomba Mungu sana akiwa peke yangu ili amsaidie katika huduma.

Maono yake ilikuwa kusaidia watoto Yayima
Watoto yatima imekua ngazi ya waanzisha makanisa siku hizi.
 
huu unabii wa karne hii huu mmmhh.wakristo mjitafakari sio kila ukilala ukaamka unajiita nabii,hiv mnajua hata sifa za binadamu kuitwa nabii??
Nasikia shekhe Sharifa majini na Sule wewe ndo unaowashikia vitabu
 
Kati ya Waumini wake wa Kwanza 11 tuliokuwa tukisali nae pale Mbezi Beach Maguruwe katika Nyumba ya Willy ( Wile ) kati ya mwaka 2011 hadi 2012 ( akitokea Kigamboni alikokuwa akihudumu chini ya Mtumishi mmoja mkubwa tu kule ) nami GENTAMYCINE nilikuwa ni Mmoja wapo. Na labda leo kupitia hapa niseme tu kuwa Marehemu kwa kiasi fulani alinibariki mno kwa Maombi yake Kipindi kile ana Nguvu na alikuwa ni Mtu wangu wa karibu na tulizoeana na alinipenda mno ila baadae Majukumu mengine yalinipata na nikaanza kuwa nae mbali japo kila mara nilipokuwa Mjini nilikuwa nikienda Kumtembelea. Na nakumbuka hata mara ya mwisho nilipokutana nae mwaka 2021 alinilaumu mno kwa Kupotea na Kumtenga huku akiniambia kuwa ilikuwa kidogo Afe kwani alikuwa ndiyo ametoka Kulazwa na kufanyiwa Oparesheni ya Utumbo tatizo ambalo nadhani huenda ndiyo likawa kwa kiasi fulani limechangia kuondoa Uhai wake. Nje ya Majukumu yake ya Kiimani ( kuwa Nabii na Mtumishi ) Flora Peter alikuwa ni Dada Mcheshi, Mkarimu na mwenye Huruma sana hivyo hata kama Watu wengi hapa katika hii Thread watamsema vibaya na Kumchafua ila alikuwa ni Dada wa Kipekee kama ukipata bahati ya kuwa nae Karibu.

Mwenyezi Mungu ailaze Roho yake Nabii Flora Peter mahala pema Peponi. Nimepoteza Rafiki mzuri na Dada mwema.
First time unamwongelea mtu positive na kwa unyenyekevu, wee Fuloo ulimpa nini genta
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naambiwa Nabii Flora amefariki jana akipatiwa matibabu hospital ya Kitengule Tegeta

Naambiwa msiba upo salasala nyumbani kwake na pia kwenye Kanisa lake na nje ya Kanisa kuna viti vimepangwa

Kana taarifa zina ukweli naomba nitoe pole Kwa Ndugu, jamas na waamini wote.

Alikuwa Nabii mkubwa aliyejitoa kwa kazi ya Mungu

Mwenye taarifa zaidi atujuze

=====

TANZIA NABII FLORA AMEFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITALI YA KITENGULE JIJINI DAR ES SALAAM ,
View attachment 3053833
MSIBA UKO KANISANI KWAKE MBUYUNI NJIA YA KUINGILIA SALASALA UPANDE WA KULIA.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, APUMZIKE KWA AMAN AMEEN.

DR. CATHERINE YATOSHA

Kwa masikitiko makubwa kabisa tumeondokewa na dada yetu mpendwa Nabii Frolah Peter Makunga amefariki Jana jioni Tarehe 25/7/2024 hapo Dar es salaam Katika hospital ya KITENGULE - TEGETA * alipokuwa akipatiwa matibabu kwa muda, tunafanya utaratibu wa kusafirisha *Shinyanga kwaajili ya mazishi kijijini kwao LOHUMBO kata ya NYIDA Shinyanga Vijijini.

Bwana alitoa na bwana ametwaa hivyo jina lake na libarikiwe.


Hii ni taarifa ya awali

HISTORIA FUPI
View attachment 3053832
Bwana Yesu Asifiwe, anaitwa Nabii Flora Peter wa Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi Mbezi Beach Salasala hapa jijini Dar es Salaam.

Alianza huduma Mbezi mwaka 2010, alianza peke yake bila ya mtu yeyote yule, akawa anafanya huduma yake nje na hakuwa na sehemu rasmi kwaajili ya kazi ya Mungu ,kwahiyo akawa anafanyia maombezi nyumbani.

Alikuwa anmuomba Mungu sana akiwa peke yangu ili amsaidie katika huduma.

Maono yake ilikuwa kusaidia watoto Yayima
Huyu Flora pale kanisani kwake Salasala alikuwa anawaambia waumini wanyanyue Waleti na Pochi Juu ziombewe zipokee Miracle Money.

Wanaosali walisema hela zilikuwa zinajaa kweli ila sina uhakika nao
 
Biblia inasema, usihukumu usije ukahukumiwa.
Nilijikuta nimefika kwa Nabii Frola nikimsindikiza jamaa yangu ambaye alipotelewa na mtoto. Tulifika hapo baada ya kuwa tumemtafuta mtoto siku 2 kila mahali hadi mortuary bila mafanikio. Watu wakawa wameshauri twende kwa Nabii Frola na ndio ikawa first time yangu kwenda pale.

Nilipomuona; kibinadamu nilishangaa kutokana na mavazi yake pia alivyojipamba. Tulimuelezea kuwa kijana amepotea akienda shule. Akaomba sana na akatuambia anamuona kijana yupo hai, tena yupo eneo lenye watu wengi amevaa kofia na nguo chafu chafu tena hajielewi na amekaa chini ya watu. Akasema tuanze kumtafuta kuanzia mwenge hadi external pembeni ya barabara tutamuona. Binafsi sikuwa nimemuamini ila kwa kuwa namsindikiza jamaa yangu; nilimtia moyo tukatoka na kuanza kumtafuta. Kwa mshangao tulimkuta kijana chini ya daraja la Ubungo (wakati ule bado hawajajenga) na kwa juu kulikuwa na watu wengi na biashara mbalimbali zilikuwa zikifanywa kama Nabii alivyosema!
 
Back
Top Bottom