Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania


Bastola/Bunduki si nzuri sana kumiliki,ni hatari kwako pamoja na familia,kuna mazingira yanakulazimu kumiliki Bastola kwa mfano dereva wa malori,site engineer na kazi zinazofanana na hizo lakini kama ni sifa ka za mcharo kuringishia watu bar au majirani haikufai maana unaweza ukaja enda jela hivi hivi.
 
Shukran sana ndugu
 
Vijana watanzania bwana wakikamata milioni 10,Brevis na vyumba viwili mavulunza na wao wanataka kumiliki bunduki,ni shida kweli.....Kama hauna matatizo na mtu,sio dhulumati haina haja ya kuwa na bastola.

Ni kwaajili ya usalama wangu me mwenyewe na si kama ulivyosema mkuu...
 
jifunze na range kabisa, fuata maelezo hapo juu. Ondoa hasira ukiwa na hii kitu
 
Ni kwaajili ya self defense baada ya kupata vitisho(vitisho vya maisha) aidha ninunue silaha kuokoa maisha yangu pindi itakapohitajika au nisubiri kuuwawa

Utakapoulizwa hili swali polisi,useme ni kwa ajiri ya ulinzi binafsi tu,na wala si kwa sababu umetishiwa hutapewa kibari na badara yake utaambiwa hii kazi ya kudiri na aliyekutishia maisha uwaachie wao.

Kiuhalisia haitakiwi utafute bunduki baada ya kuchokozwa.utaitumia vibaya tu.
 
Ucpate Shida ,bunduki Ya Kwanza Kubwa Ya Kuwa Nayo Ni "Yesu Kristo" Kwnz Una Tsh.Ngp? Una Makampuni Mangapi? Sio Hata Wengi Tu Kwny Kitongoji Hawakujui. Mtegemee Mungu. Kwa Ushauri Njoo Kwny Mada Yangu Ya "Mungu Ameshuka Tanzania"
 
Ni kwaajili ya self defense baada ya kupata vitisho(vitisho vya maisha) aidha ninunue silaha kuokoa maisha yangu pindi itakapohitajika au nisubiri kuuwawa

Nani alikwambia Bastola inaokoa maisha? Mtu akiamua kukuua hata uwe na AK-47/AR-15 anakumaliza tu,maana kosa moja goli moja,Bastola ni kwa usalama wa kuwakimbiza vibaka tu wa mtaani.Yule Bilionea wa Arusha msuya alikuwa na bastola wakati anauliwa.Mimi naamini kama hauna beef na watu,sio dhulumati,hauli wake za watu,sio tapeli haina haja ya kuwa na bastola.
 
Ni kwaajili ya self defense baada ya kupata vitisho(vitisho vya maisha) aidha ninunue silaha kuokoa maisha yangu pindi itakapohitajika au nisubiri kuuwawa

Mkuu hii sababu uciende kuitoa police, itaku cost.
 
Samahani nikuulize wewe si jamii ya kina UFO SARO ???????????
 
Habari wadau ningependa kupata taarifa ya process zinazohitajika kununua bunduki (bastola) na pia kujua bei na sehemu zinapouzwa.

Asante

Mkuu taratibu lakini, inaelekea umeshachoka na upumbavu =D
 
Nahitaji kumiliki silaha haswa Bastola (pistol). Ni njia gani nipite ili kufanikiwa kupata?
Je ni kununua kwanza au ni kujaza form ya maombi kwanza? Kipi kinatangulia?

Asanteni
 
ase wewe ni meku maana wote kutoka kaskazini wamenunua mnaajenda gani asee
 
Wakuu. Hivi sheria za umiliki wa silaha bado ni zilezile au kuna mabadiliko?
 

wadau naomba mwenye majibu ya hili swali anisaidie,maana binafsi naona hayo siju wapi pa kununua,kusajiri na mengine ni additional tu.swali la huyu mdau ndo swali hasa.msaada jamani.
Cc,mbangaizaji,kitia ,mbu , zanziba na wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…