Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

dah! kwa mtindo huu bora kupitia chocho tuu,,

ila pisto muhimu sna
 
Wakuu naomba kujua taratibu za kufuata kumiliki silaha kihalali, mahali wanapouza na njia za kufuata.

Kama kuna shortcut za vichochoron za kupata sio mbaya mkiniwekea hapa.
Mie ya kwangu mwaka sasa nasubiria kibali bado na kibali ndio issue kununua sio issue
 
Chicago unapa in 1 minute.... Nenda Mzinga watakupa maelekezo yote. Ukitaka harak nenda na m2zako wewe wape info zako watamaliza process wao. Wewe utapigiwa simu ukabebe mkwaju wako.
Hakuna shortcut ya kupata silaha Hata uwe Na million 10. Hiyo process ya kupata silaha Na has a pistol ni ndefu mno Na huwezi kuwaonga wote. Kumbuka Hata mkuu Wa wilaya Na mkuu Wa mkoa wanahusika kwa Nyakato tofauti katika hiyo process Na hapo hatujazungumzia TISS. Usimdanganye mwenzako.

Tiba
 
Wakuu habari,

Hili swali lina ni tatiza kidogo, nimejaribu kuperuzi peruzi lakini nimeishia kufahamu vigezo vya na hatua za kumiliki silaha lakini hakuna mahali nilipoona ni aina gani ya silaha unaruhusiwa kumiliki.
Mwenye kujua tafadhali..
 
1. Upinde na mishale yake.
2. Panga.
3. Rungu.
4. Sime.
5. Gobole.

Miliki hizo wala huhitaji kibali. Hata town unakatiza nazo haina shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…