Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ununue original? nunua za kichina tu bei poa kwani bunduki huwa haiana faki inaua tu oi
Mkuu wee uko wapi[emoji86] [emoji86]Wakuu amani iwe kwenu.
Nimeshawishika kununua bastola maana naona vibaka wanatishia sana amani hii mitaa yetu. Na hali hii imepelekea hadi sisi wanaume wa Dar kudharaulika kuwa tunaogopa vijana wanaojiita taifa jipya. Na mpaka Waziri wa mambo ya ndani naye kashangaa kuona wanaume wa Dar tunakimbilia chumbani pindi tunapowaona hawa vijana wanaojiita taifa jipya na panya roads.
Naomba mnifahamishe bastola inauzwa bei gani na zinapatikana maduka gani?
Nawasilisha.
Rais2020
Mkuu rungu ninalo tayarANZA KUMILIKI RUNGU KABLA YA BASTOLA
..Naomba mnifahamishe bastola inauzwa bei gani na zinapatikana maduka gani?
Nashukru sana mkuu kwa Maelezo yako mazuri. Kuna gharama zozote ambazo natakiwa kuzitoa au kuzilipa baada ya kuimiliki either kwa mwezi au kwa mwaka?Tanganyika Arms, mjini, karibu na station.
Ukitaka vile vya ''kike'' kama show off tu ambavyo hata kwenye mfuko wa nyuma wa jeans vinakaa, vipo vya 2.5M. Ila ukitaka ya kiume ambayo ukifyatua hata muungurumo unasikika, utapata nzuri sana kwa 3.8M. Ukishanunua unaicha palepale then unaanza process ya kuiombea kibali. Unaweza kuchukua mwezi mmoja au mwaka mmoja kumalizia process yote,it depends on a lot of factors na labda serikali ya awamu ya tano imerahisisha urasimu.
Nashukru sana mkuu kwa Maelezo yako mazuri. Kuna gharama zozote ambazo natakiwa kuzitoa au kuzilipa baada ya kuimiliki either kwa mwezi au kwa mwaka?