Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Mods bhana. Uzi wangu wameuleta tena hapa. Dah!
 
Mnajuwa maana ya kujihami au mnapingana na mawazo ya mtu.
 
Ya kupigia wanyama au watu??

1. Kuwindia wanyama ni
Rifles zote kama 458, 375, ...
2. kuwindia ndege ni Short Guns zote
3. Kivita ni SMG, AK47,G3, LMG ....
4.Kujilinda ni bastola aina zote, short Guns zote lakini mtu binafsi hawezi kumiliki fungu la tatu
 
Hiyo ni nzuri zaidi
 
Habari wana jf
Ni ruhusa ku miliki silaha kama AK 47,smg,au asault riffle je ni taratibu gani za kufuata nisikiuke sheria za nchi lengo ni kujilinda tu maana nnaishi msituni mbali sana na mji nimeamua kuishi huku mi na familia yangu ili kufanya shughuli nyingine za kujikimu kimaisha,
 
Utaratibu wa kufuata ili uruhusiwe kumiliki Ak47,SMG ,riffle nk ni lazima uwe askari wa moja ya majeshi yetu TZ uliyeajiriwa, AU UMEZE SUPER GLUE MBILI TU MAANA NI TAMU SANA NA HUCHANGAMSHA AKILI.
 
Unaenda kwny Maduka ya Serikal yapo Mawili kwa Dat Es salaam moja lipo pemben mwa TRA iliyo samora street karibu na Station au pale Karibu na Makao Makuu ya Jwtz
Ukishanunua hupewi Bali ndio unaanza kufuatilia vibali kwa kuanzia Wilayani na ukishakamilisha ndio unakuja kuifuata
 
AK 47 haziruhusiwi kumilikishwa mtu binafsi. Ni Wanajeshi, Polisi na Askari wengine wa Dola wanatumia. Mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki bunduki kubwa jamii ya Rifle na Bastola.
 
Angalia hizo silaha usije kutupigia tembo wetu huko msituni unaposema upo.
 
SMG inaruhusiwa pia ila ina taratibu zake na kutokana na kazi yako au biashara yako
 
Polini unafanya nn porini wanakaa wanyama usijekuwa ni mwindaji haramu.
 
Ak47 ya nini siku hizi ni mwendo wa teza haina kelele na inamuweka.mgoni chini ya ulnzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…