Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Hata mie nitaitafuta Mwaka huu maana kuna wahuni wanaanza fatilia maisha ya watu
 
Hii mimi bora nisimiliki maana mtu akiniibia demu wangu tu namtawanya ubongo.
 
Ukiipata tayari be care, siku ukipoteza kwa namna yoyote ile kimbilia kituo cha polisi, gari acha nyumbani, mkanda acha nyumbani maana utawekwa Lupango kidogo kwa ajili ya kulisaidia jeshi.
Kama kuna ulazima sana miliki, kama si sana bora utafute njia mbadala ya kujilinda ili usiwe mtumwa wa bastola.
 
Mkuu Si kila kitu tunaweza share hapa,kutokana na unyeti wake naomba ufike kwa mtu mwenye cheo cha msajili wa silaha pale polisi makao makuu ghorofa ya 5 utapata majibu yote.
Kwa nini iwe siri? Ni utaratibu umewekwa kisheria hivyo kama unajua hukatazwi kushare info. Ninavyofahamu ni kwamba unanunua silaha halafu unaenda polisi unapewa fomu ya maombi ya kumiliki silaha kisha unaenda kwenye kamati ulinzi na usalama ya serikali ya mtaa ,,huko watakuhoji na kisha watakujadili kama unafaa kupewa kibali au la kwani wao ndio wanaokufahamu. Baada ya hapo watakupa copy ya muhtasari ambayo utaambatanisha na ile form kisha kuipeleka polisi wataichukua tayari kuipeleka kwenye kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya .Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya itakupa taarifa ya tarehe unayotakiwa kwenda kuhojiwa .kamati ya wilaya ikishapitisha maombi yako ,inayapeleka kamati ya mkoa huko watakujadili kisha kupitisha au kukataa. Wakikubali,makao makuu ya polisi yanakupa kibali. Ikumbukwe kwamba baada ya kununua silaha hutakiwi kuondoka nayo toka pale dukani isipokuwa tu baada ya kupata kibali,hivyo unapaswa kuiacha pale au kuomba askari polisi wa kwenda kuichukua na kuihifadhi polisi mpaka utakapopata kibali.
 
Umekwiva Mkuu..upo njema sana
 
Paragraph ya mwisho umepatia sana Mkuu
 
tatizo letu kubwa ni ujinga wa kihalaiki
 
hizi process mbona ndefu sana aisee!!
kwa kusoma tu nishachoka je nikianza kufuatilia je??
 
Mimi ya kwangu nimeitoa hivi majuzi tuu baada ya process ndeefu. Mane, I feel like bustin' a cap in some nigga's ass! (teh-teh-teh).
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ŽπŸ˜Ž
 
Habari zenu wakuu

Ni siku nyingi Sana zimepita nikiwa Kama mtanzania nimekuwa napata shauku ya kumiliki siraha kwaajili ya usalama wangu binafsi; Ila bado sijafahamu njia gani/nianzia wapi na kiasi gani niandae ili kufanikisha lengo naomba Msaada mnijuze.
 
Soma post namba 1 hapo juu
 
Kaka naweza kupata wapi huo upinde na mishale ya kisasa? Niko interested.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…