impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
[emoji23][emoji23]Dooi😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Dooi😀😀
Hata mimi nime Google sijaona kitu Kama hikoKitu alichoandika hakieleweki mkuu,ndio maana nimemuuliza.
Hata short cut nitatumia nipateSilaha rahisi kupata ni short gun, nenda Mzinga Morogoro wanazo kibao, kupata kibali cha kumiliki Bastola utapata ilauwe mvumilivu labda utumie short cut
Hii tabia ya kuhisi kumwambia mtu sikujui hunijui kama unamtisha humu jf ungekuwa wa kutisha usingeuliza humu vitu vidogo hivyo hujui hata zinapatikanaje harafu unataka uogopweSawa mkuu ila huo ni uwezo wako wa kufikiri
Hunijui sikujui mazingira yamekuathiri
Pistol nimerekebishahahahaaa....keshachemka
Aisee mkuu ukiipata kwa shortcut(na yenyewe kama utafanikiwa) siku kikinuka ndipo utaelewa maana ya "Mgambo wanaruka na kukanyagana".Hata short cut nitatumia nipate
Wakinichelewesha naenda mahakamani labda niambiwe Sina sifa niwe kichaaMwambie na kahela kake alicho dunduliza kununulia silaa atamwachia muuzaji.....
Rafiki Mambo
Ya kujilinda juzi nimesumbuliwa na vibaka Kama siyo karate wangeninyanganya simu na gari wangenyofoa vitu
Gobole lipo kwa bei sawa na bure.Naomba mwenye ufahamu vigezo jin
umiliki silaha maduka yanayouza Bei na Aina ya silaha nzuri Bastoral inayobebeka kirahisi na ya kisasa walau risasi 15
Hata Glock 17 ipo vizuri Bei ni $726Though GLOCK 19 pia nayo iko poa mkuu.
Kujilinda tuNataka kumtungua nani?
Mpk hapo hau qualify kupata mkuu,maana kama uvumilivu wa hizo process umekushinda hata Judgement yako kwenye matumizi ya silaha yatakua na mashaka.Wakinichelewesha naenda mahakamani labda niambiwe Sina sifa niwe kichaa
Tatizo Nini?Kigezo sii hela ndugu
Waulize walionunua toka 2016 kama washaitwa
AsanteKwani comments zimekua chakula au hela? Kama huna majibu ya hitaji lake piga kimya.... kuchambua spelling ni uboya sometimes
Kiukweli nahitaji sanaKumiliki silaha kuna mlongo sana wa kupewa kibali ila kama upo teyar vumilia tu na kuwa na subira
Bei za mtandaoni hizo mkuu,nenda pale Mizinga ndipo utaona gharama zake halisi.Hata Glock 17 ipo vizuri Bei ni $726
Ukiweka na Kodi itakuwa Kama 345$
Si mbaya
Mkuu sijakutisha ila nyie wasomi hamtaki sie wakulima wa bamia tukidunduliza nasi tumiliki mguu wa kukuHii tabia ya kuhisi kumwambia mtu sikujui hunijui kama unamtisha humu jf ungekuwa wa kutisha usingeuliza humu vitu vidogo hivyo hujui hata zinapatikanaje harafu unataka uogopwe
Sio short cut ya kumiliki kinyemela short cut ya wazee kunywa sodaAisee mkuu ukiipata kwa shortcut(na yenyewe kama utafanikiwa) siku kikinuka ndipo utaelewa maana ya "Mgambo wanaruka na kukanyagana".