Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Salaams humu, jamani naombeni kama kuna mtu ana soft copy ya sheria hii anisaidie, kuna vitu vya msingi nataka nivifahamu, natanguliza shukran!
 
Kanunue Ulinzi huo. Pia funga mfumo wa CCTV NA PIA ALARM YA KK SECURITY NI BORA. Mimi kwangu kamera zipo kila kona na ni za simu za mchina nimenyofoa nika unga kwenye computer naweza ona na kusikia kila kitu kwangu kuna taa za ulinzi ukisogea zinawaka na pia zipo umbwa 2 noma xna. Kwa ulinzi wa hom upo poa ila nikiwa mtaani sina Ulinzi ndo maana napenda kuwa na bastola .

Kuna jamaa wanatengeneza magobore ila hayo ni kama unamjua mtu wako unakodisha unapewa risasi tatu unaenda unaweza mfanya mbaya viungo au ukaua.
 
Ukiona urasimu bongo mkubwa kama ilivyo jadi,sema nikupe bastola ya kijadi.Haina usajili,leseni haina wala hakuna atakayejua kama unayo.Bastola hiyo ni kwa ajili ya kuzuia wezi tu si kuua wala kwenda kuibia.

Ni kimti fulani unaweka home kwako basi,wezi wakija nyumba hawaioni basi,kama una mshiko mkubwa,basi unanusa kijiti chako,vibaka/wezi hawakuoni.Hizo za kisasa balaa.

Haah hiii safi haina malipo ya mwezi wala gharama za season check up.
 
Maduka ya kununua bastola dar yapo kama 2 ninayoyafahamu moja lipo pale mitaa ya stesheni, nyuma ya jengo la TRA, linaitwa Tanganyika Arms. Hili ni private(meaning price pia ni kubwa). Pia unaweza kwenda kununua pale Makao Makuu ya Jeshi Upanga kuna duka la Mzinga(bei fresh sana pale ila nyingi ni za kutoka nchi za kisoviet). Vile vile unaweza kuagiza ulaya kama unataka quality like Colt 45 na ikifika unaiclear halafu inahifadhiwa pale Tanganyika Arms mpaka upate kibali(Ila kuwa makini sana hapo maana inabidi jamaa wakutumie serial number ya bastola, wakiiuza na kuleta ingine kazi utakuwa nayo kwenye kuprocess kibali)

Kupata kibali cha kumiliki ndo kimbembe maana procudure inaanzia kwa mtendaji wa kata ambaye anaitisha kikao cha usalama na wanaclear. Ukitoka hapo unaenda polisi wilayani, for clearance, then wilayani, baada ya hapo ni kwa mkuu wa mkoa ambapo unakuwa endorsed na kikao cha usalama cha mkoa. Kwa Dar nasikia kinafanyika mara chache sana. Ukimaliza hapo ndo unaenda Polisi Mkoa then Makao Makuu ya Polisi(Registry, na figure prints department) na finaly kibali kinatoka kwa DCI.KIbali kikitoka unaenda kuchukua "Ngoma yako".

Kuna watu imewachukua zaidi ya mwaka kwa hii process, lakini wengine inachukua miezi 2, depending on your connection.

Goodluck
wengine wiki tu
 
Maduka ya kununua bastola dar yapo kama 2 ninayoyafahamu moja lipo pale mitaa ya stesheni, nyuma ya jengo la TRA, linaitwa Tanganyika Arms. Hili ni private(meaning price pia ni kubwa). Pia unaweza kwenda kununua pale Makao Makuu ya Jeshi Upanga kuna duka la Mzinga(bei fresh sana pale ila nyingi ni za kutoka nchi za kisoviet). Vile vile unaweza kuagiza ulaya kama unataka quality like Colt 45 na ikifika unaiclear halafu inahifadhiwa pale Tanganyika Arms mpaka upate kibali(Ila kuwa makini sana hapo maana inabidi jamaa wakutumie serial number ya bastola, wakiiuza na kuleta ingine kazi utakuwa nayo kwenye kuprocess kibali)

Kupata kibali cha kumiliki ndo kimbembe maana procudure inaanzia kwa mtendaji wa kata ambaye anaitisha kikao cha usalama na wanaclear. Ukitoka hapo unaenda polisi wilayani, for clearance, then wilayani, baada ya hapo ni kwa mkuu wa mkoa ambapo unakuwa endorsed na kikao cha usalama cha mkoa. Kwa Dar nasikia kinafanyika mara chache sana. Ukimaliza hapo ndo unaenda Polisi Mkoa then Makao Makuu ya Polisi(Registry, na figure prints department) na finaly kibali kinatoka kwa DCI.KIbali kikitoka unaenda kuchukua "Ngoma yako".

Kuna watu imewachukua zaidi ya mwaka kwa hii process, lakini wengine inachukua miezi 2, depending on your connection.

Goodluck

PENDA SANA CLARIFICATION YAKO KTK TOPIC HUSIKA. imelenga mlemle kwenye topic husika na nime-gain kitu ktk yote. #ahsante .
 
Urefu wa processes ni ili kila mtu aweze kushikishwa ipasvyo

Hiyo ni silaha, kumbuka ina madhara makubwa sana inapotumika vibaya na inapokuwa mikononi mwa mtu asiyejali ustawi wa mtu mwingine. Lengo la process hiyo unayoona kuwa ndefu, ni kwa mamlaka husika kujiridhisha na huyo muombaji kama kweli anastahili kupata kibali cha kumiliki silaha na si vinginevyo.
 
Hapo hapo ndiyo napahitaji, mimi nauliza utaratibu wa kumili siraha kubwa kama shotgun, na ni siraha zipi za daraja hilo ambazo raiya anaruhusiwa kumiliki, nina mpango wa kuhamia shambani, porini hasa kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji, nahitaji kwa ajili ya ulinzi. Natanguliza shukrani
 
sifa za kumiliki slaha mbona zinaeleweka jamani sema njaa za bongo ndo zinaletea watu kumiliki slaha bila utaratibu.yan unlawfull detention of fire arms.simply unaenda wizara ya mambo ya ndani kuna form utapewa ambayo itakua na badhi ya maswali yakujitosheleza.kwa mfano......... kwann umeamua kutaka kumiliki slaha...?,una mali kiasi gani znazokufanya upetition umiliki wa slaha.......nadhani utaratibu sio mgumu ukiwa na locus stand(intrest)

Siyo rahisi hivyo, process zinaanzia chini kabisa ngazi ya kata wao ndiyo wanaanza kukurecomend! Huko wizara nani anakufahamu?
 
Ndugu yangu, mshale wa kisasa ni more effective na efficent kuliko bastola. Na hauna matata kisheria unaweza kumiliki bila kibali, na ni mzuri sana kwa kupambana na majambazi na wezi, very silence! Ukikaa mahali na mishale yako ukifyautua hawezi kujua uko wapi, tofauti na bastola( Labda iwe na silencer) Lakini unatakiwa kujua namna ya kuutumia, Ushauri tu.
Nimeipenda nadhani inanifaa inauzwa sh ngapi na huko mzinga inapatikana
 
wakuu samahani kuingilia thread,taratibu za umiliki wa bunduki [shotgun,makeifour n.k]zikoje kwa kampuni ya ulinzi.kwa anayefahamu tafadhali
 

wajemeni eeh

kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!

... nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu;
najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme,
na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha
huko!

Najua humu kuna wengi tu wanaomiliki silaha kikazi, na wanaomiliki
silaha kwa sababu kama zangu mie,..tatizo sijui "a" wala "be" nianzie
wapi, meaning sheria na taratibu zikoje Bongo kumiliki silaha, hivi kuna
duka la silaha Bongo?

wapi?

mfano; nikipata semi auto M92 Beretta yenye uwezo wa rounds 12 au 15
inatosha, au kuna 'limit' ya silaha ya aina gani naruhusiwa kuwa nayo?
natamani kuagiza nje lakini nahofia nisijebanwa na sheria za uingizaji
silaha...

Wabongo bwana! mbwembwe kibao!
Hapo kwenye red.
 
Mkuu ukiamua kufuata process itaku buy time sana

sunajua nchi yetu ya kitu kidogo

we tafuta kwa mtu anaemilik kihalal akuuzie then mtaenda wote kuapa mahakaman hiyo n very simple

ila ukitaka kufuata process,you wait for 3years
 
Mkuu zinapatikana wapi hizo mishale ya kisasa na ubora wake ukoje kwenye matumizi,kwenye kubadili mishale nk
 
Maduka ya kununua bastola dar yapo kama 2 ninayoyafahamu moja lipo pale mitaa ya stesheni, nyuma ya jengo la TRA, linaitwa Tanganyika Arms. Hili ni private(meaning price pia ni kubwa). Pia unaweza kwenda kununua pale Makao Makuu ya Jeshi Upanga kuna duka la Mzinga(bei fresh sana pale ila nyingi ni za kutoka nchi za kisoviet). Vile vile unaweza kuagiza ulaya kama unataka quality like Colt 45 na ikifika unaiclear halafu inahifadhiwa pale Tanganyika Arms mpaka upate kibali(Ila kuwa makini sana hapo maana inabidi jamaa wakutumie serial number ya bastola, wakiiuza na kuleta ingine kazi utakuwa nayo kwenye kuprocess kibali)

Kupata kibali cha kumiliki ndo kimbembe maana procudure inaanzia kwa mtendaji wa kata ambaye anaitisha kikao cha usalama na wanaclear. Ukitoka hapo unaenda polisi wilayani, for clearance, then wilayani, baada ya hapo ni kwa mkuu wa mkoa ambapo unakuwa endorsed na kikao cha usalama cha mkoa. Kwa Dar nasikia kinafanyika mara chache sana. Ukimaliza hapo ndo unaenda Polisi Mkoa then Makao Makuu ya Polisi(Registry, na figure prints department) na finaly kibali kinatoka kwa DCI.KIbali kikitoka unaenda kuchukua "Ngoma yako".

Kuna watu imewachukua zaidi ya mwaka kwa hii process, lakini wengine inachukua miezi 2, depending on your connection.

Goodluck

Mkuu ninavyofahamu mimi process inaanzia kwenye serikali ya mtaa. Baada ya hapo ndo unaenda kwa katibu kata.

Tiba
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
nnahisi hali ya hatar umepata tetesi mkeo anatoka nini mpige kwa kipande cha kanga bastola kupata inachukua muda
 
Back
Top Bottom