mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Vp huko rita ,kama akisema amezaliwa kigomaRipoti police pata RB nenda RITA
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp huko rita ,kama akisema amezaliwa kigomaRipoti police pata RB nenda RITA
Umekipoteza wapi cheti chako,dar auNimezaliwa Mwanza ila kwa sasa Niko dar, je naweza kukipata hapahapa dar au mpaka niende mwanza
Vp huko rita ,kama akisema amezaliwa kigoma
Ova
Kuna utaratibu wa kuhojiwa mpaka atajulikana kama alivuka mpaka ama laVp huko rita ,kama akisema amezaliwa kigoma
Ova
Kimepotea darUmekipoteza wapi cheti chako,dar au
Ova
Mdau kazaliwa Mwanza kumbeKuna utaratibu wa kuhojiwa mpaka atajulikana kama alivuka mpaka ama la
Sisemi sana.... Nilishawi kuhojiwa boda ya Rusumo kuhusiana na uraia wanguMdau kazaliwa Mwanza kumbe
Ova
Kadi ya kliniki sina ila vingine vyote vipoMaswali ya msingi
Umezaliwa wapi
Wazazi wako ni akina nani
Ndugu zako ni akina nani
Una nakala za vyeti vingine vya masomo?
Card ya clinic na hospital uliyozaliwa nknk
Ulikuwa unatoka au unaingiaSisemi sana.... Nilishawi kuhojiwa boda ya Rusumo kuhusiana na uraia wangu
Lakini si unaikumbuka hospital uliyozaliwa na mwaka?Kadi ya kliniki sina ila vingine vyote vipo
NaingiaUlikuwa unatoka au unaingia
Ova
NaikumbukaLakini si unaikumbuka hospital uliyozaliwa na mwaka?
Makao makuu ya RITA Kwa hapa dar yako wapiRipoti police pata RB nenda RITA
Mjini karibu na billcanas zamani au mboweMakao makuu ya RITA Kwa hapa dar yako wapi
AsanteMjini karibu na billcanas zamani au mbowe
Ova