Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Hapo pa maamuzi ya mwisho kutokuwa nayo ndio useless ulipo na work done kuwa zero especially Kwa Dunia ya Sasa ya watu waliowekeza kwenye ujasusi wa kiuchumi huku kwetu mambo madogo hata ya rushwa yatushinda, na nikisoma hii story na Niki reflect kikwetu tutakuwa tuko uchi hasa Kwa wapenda feza kuwa double agent walla
 
Uko deep aisee. Nitakuwekea order ya paya na Pepsi baridi kesho.
 
U.S wao wanaangalia key stakeholders kufikia lengo ndio maana hata usishangae baadhi yao wapo humu,tangu wafanyiwe mbaya kule japan wamejichimbia kila kona ya dunia na nguzo ya kubwa ni ulaghai wa pesa kupata info.
Nadhani Hilo ndio lengo hasa kufikia target ya jambo lako Kwa msitakabali wa u super power ku maintain. So kwenda bila target ni wastage of time.
And I think hii ya kutoa fedha USA imenasa mataifa mengi in the name of aid, mara afya, Sasa kwetu Africa ndio kwishney kabisa nadhani hata wanasiasa uchwara Huwa wanadaganyika kisa fedhwa.
But I believe nchi zilizoendelea zimewekeza kwenye inteligensia ndio maana wanatoboa kiuchumi imagine USSR isingevunjikaga Leo wangekuwa mbali shida wasaliti, vile vile China kuendelea waliwekeza kiuchumi na kiinteligence.
 
wapo na inasikitisha sana maana wengi ambao ni double agent ndio remote control wa taifa the so called "wenye nchi"
 
Wenzetu wako mbali sana wanathamini uchumi na kuupigania kwa gharama yoyote ile hata chipukizi wa biashara na wazo lolote la kibunifu wanasapoti kwa gharama yoyote hata kwa damu wako tayari mfano kina elon musk,bill gate,jack ma etc ni mazao ya vitengo vya ujasusi wa kiuchumi na wanathamini wasomi na mawazo yao (education is the powerful weapon u can use to change the world~mandela)
 
wapo na inasikitisha sana maana wengi ambao ni double agent ndio remote control wa taifa the so called "wenye nchi"
Tanzania tutafika peponi tumechoka hao wenye nchi ndio wanaingia mikataba ya kimichongo chongo tu kisa fedha
 
Huku kwetu virce vesa, hata wataalamu hawaheshimiwi hata chembe
 
Wanasiasa wengi ni hao hao. Serikalini hupandi cheo bila kuwa wao.
 
Ila hawajawa smart Kwa kiasi hicho tumeachwa mbali vilevile nchi yetu Haina mambo mengi.
Ila vijana wa chama mboga Huwa hawanaga akili na u smart wowote
kama tungekua tunapata za nyumbani,hasa kipindi cha ukombozi na kupambana na makaburu kipindi kile,tungesikia matukio kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…