Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K


Mchepuko wa Oleg, bibiye Leila aliyeva mfanyakazi wa WHO (walikuja kuoana baadaye kama mke wa pili).


Kwenye hij picha wa kwanza kushoto ni Bwana arne treholt mwanasiasa mwenye ushawishi kwenye chama Cha Norwegian labour party akiwa na balozi wa urusi wakati huo bwana Gennadi titov katikati pamoja na bodyguard wake wakienda kwenye mkahawa mmoja kupata Cha mchana mitaa ya Oslo Norway. Alikuwa kwenye payroll ya KGB akiuzia urusi intelligence informations.


Hapa ni mwanamama Gunvor galtung haavik katibu wa wizara ya mambo ya nje ya Norway aliyekuwa anaiuzia KGB info za kiintelijensia akiwa Yuko chini ya ulinzi muda mfupi baada ya kukamatwa 1977.
 

Attachments

  • IMG_20230429_163635_268.jpg
    27 KB · Views: 52
  • IMG_20230429_163635_268.jpg
    27 KB · Views: 67
Thanks kwa uzi murua,
I must emphasize that I have been following this thread closely not because of the story but because of your unique way of narrating it, Which is kinda hard to get in JF these days
I must say that i wish you prosperity and happiness in finishing this thread

Your truly fan
Beberu [emoji4]

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni stig bergling afisa police na pia afisa wa usalama wa taifa wa sweeden aliyekuwa anafanya ujasusi kwa niaba ya KGB 1973. Alikamatwa na kusekwa ndani
 
Nina stori nyingi sana ila am not a good story Teller.. hapa na practice if I'm good enough at storytelling [emoji28][emoji28].ila shukrani kwa appreciation.
 
Oleg ni zaidi ya Yuda iskariote, hafu haya mambo waweza tumika ukijifanya mwamba mwisho wa siku lazima siku igundulike tu
 
Nasikitika picha hazifunguki, na wasiwasi hata wanasiasa wa nchi hii huuza taarifa na wengine hutumika aisee in the name of haki sijui za kisiasa, ka huyo mwanamama katibu wa wizara anauza taarifa si hatari hii
 
Nasikitika picha hazifunguki, na wasiwasi hata wanasiasa wa nchi hii huuza taarifa na wengine hutumika aisee in the name of haki sijui za kisiasa, ka huyo mwanamama katibu wa wizara anauza taarifa si hatari hii
Tumia browser usitumie app
 
He is unique and good narrator using flashback loh.
 
Nasikitika picha hazifunguki, na wasiwasi hata wanasiasa wa nchi hii huuza taarifa na wengine hutumika aisee in the name of haki sijui za kisiasa, ka huyo mwanamama katibu wa wizara anauza taarifa si hatari hii
Exactly , mbele ya pesa kila mwanasiasa ana bei yake kabisa ananunulika.
 
Oleg kinachomfanya atoe siri bure ni nini maana sio kuuza jamaa hataki pesa kabisa yani, mpaka wapewa taarifa hawajui wampe nini, taarifa zake ni za thamani zaidi ya pesa!!! Ajabu hii

Urusi ilimfanyia nini mwamba aisee,
 
Hili swala uongozi wa JF walifanyie kazi . Inakera Sasa kadiri siku zinavoenda
Huu umekuwa ni ugonjwa sugu, mods lifanyieni kazi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Oleg kinachomfanya atoe siri bure ni nini maana sio kuuza jamaa hataki pesa kabisa yani, mpaka wapewa taarifa hawajui wampe nini, taarifa zake ni za thamani zaidi ya pesa!!! Ajabu hii

Urusi ilimfanyia nini mwamba aisee,
Kaka ukiwa na pesa hata Kama umezichimbia porini walimwengu watakujua tu, na ndicho alichokiogopa kwani zingemchomesha mapema.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…