myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Na ndio maana ka nchi umaskini hauishi mpaka kiama, Yani imagine nguvu imewekezwa kulinda wanasiasa na chama Dola tu vitu vingine ka uchumi, maendeleo yameachwa Yana hang out. China kufikia level ya ku surpass USA imewekeza kwenye intelligence ya uchumi, masoko, elimu na uwekezaji ikiwemo kulinda maadili ya asili Yao huku kwetu hola bin hola. Intelligence zetu zingejiimarisha Kila idara tungepiga hatua shida wanajificha kwenye chaka la amani
Sawasawa...Sema sometimes haya maswala ya kijasusi na mambo ya kishirikina ni kama mtu na kaka yake yaani. Ni ulimwengu uliojaa mambo ambayo ni untold na yakija kutokea juu huwezi tegemea yanafanyika
Huo ni uzembe wa mtu binafsi , unagombanaje na mkeo kwenye gari ,kama jasusi siunakausha TUSijakataa ila kukosa uhuru tu na hujafanyiwa harrasment yoyote ndio malipo yake haya????
KAZI yenyewe yamajunguHii vita ya CIA na KGB ukiichek movie inaitwa "The americans" ina viisa kama hivi vya kupandikiziana manjagu
Wenyewe mnaojua kidhungu mimi sasa ungenipeleka east sawa ukipeleka west poa pia sina masahiisho ankaaa.To be correct use "THE SPY AND THE TRAITOR"
Hapo Kwa ushirikina yaweza kuwa kweli maana hapo ni vitani silaha yoyote tu inatumikaSema sometimes haya maswala ya kijasusi na mambo ya kishirikina ni kama mtu na kaka yake yaani. Ni ulimwengu uliojaa mambo ambayo ni untold na yakija kutokea juu huwezi tegemea yanafanyika
Mbona deshideshi I want to know more[emoji1787][emoji1787]
.....
Majasusi wengi swala la mahusiano Huwa linawatesa sana na wapenzi wao huwapelekeshaHuo ni uzembe wa mtu binafsi , unagombanaje na mkeo kwenye gari ,kama jasusi siunakausha TU
Wanajifunza mengi..Mbona deshideshi I want to know more
Enzi ile ya ukomunisti, ukifika Ulaya nafasi ya kubadilika inaongezeka, kuupenda umagharibi.Oleg kanishangaza sana, ila sababu ni yeye kuchukia ukomunist na kupenda umagharibi
Ujamaa ilikuwa kero sana heri ujamaa wa Sasa hivi ka wa china, na huo ujamaa ndio ulileta hyo chukiEnzi ile ya ukomunisti, ukifika Ulaya nafasi ya kubadilika inaongezeka, kuupenda umagharibi.
Ujamaa ulihitaji uvumilivu sana..
Yes waweza jifunza mengi Sasa yabidi yalete positive change sio ku cremisha tu madesa loh ni Kama vile samaki anayo mengi ya kusema ila maji yamejaa mdomoni hazungumziWanajifunza mengi..
Mengine si ya kawaida.
Ujamaa ulikuwa mzuri, ila uliangu(shwa)ka...pia uliambatana na udikteta ndipo shida ilipoanzia..Ujamaa ilikuwa kero sana heri ujamaa wa Sasa hivi ka wa china, na huo ujamaa ndio ulileta hyo chuki
[emoji28][emoji28] na kilichoangusha hasa u dictator na viongozi kutotoa uhuru wa baadhi ya mambo lazima uzalishe kina Oleg wa Kila ainaUjamaa ulikuwa mzuri, ila uliangu(shwa)ka...pia uliambatana na udikteta ndipo shida ilipoanzia..
Ila shida imebakia kwa wale waliokuwa wakiufata ujamaa nusunusu..huku Afrika.[emoji28][emoji28] na kilichoangusha hasa u dictator na viongozi kutotoa uhuru wa baadhi ya mambo lazima uzalishe kina Oleg wa Kila aina
Sasa nchi nyingi za Africa hazitaki kubadilika pia ujamaa unavi favor vyama tawala so wakibadilika wanahofia nafasi zao, china imechange na Ina power kubwa inayozitishia western countries, hata vita vya Russia na Ukraine ni all about power struggles na mambo ya uchumi sana sana, licha ya sanctions zote still Russia inahimili tu western sio wajinga kutumia Ukraine loh, but all in all nchi zetu za Africa zinitafakari way forward na wasiwe too conservative Kwa mifumo waliyoiga china na Russia ambao wame move on lohIla shida imebakia kwa wale waliokuwa wakiufata ujamaa nusunusu..huku Afrika.
Urusi na China wameweza kubadilika kujenga uchumi wao. Afrika bado tuko nyuma.
Wanaopewa nafasi wanaharibu tu...
Sawasawa 👍Sasa nchi nyingi za Africa hazitaki kubadilika pia ujamaa unavi favor vyama tawala so wakibadilika wanahofia nafasi zao, china imechange na Ina power kubwa inayozitishia western countries, hata vita vya Russia na Ukraine ni all about power struggles na mambo ya uchumi sana sana, licha ya sanctions zote still Russia inahimili tu western sio wajinga kutumia Ukraine loh, but all in all nchi zetu za Africa zinitafakari way forward na wasiwe too conservative Kwa mifumo waliyoiga china na Russia ambao wame move on loh