Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Code:
3. Urusi imekuwa defeated.

AJABU NDIYE ALIYEFANYA UMAFIA WA KUMUWEKA DONALD TRUMP MADARAKANI!.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Trump hakupandikizwa na Russia. Sema Russia alimuunga mkono akiamini Trump ni dhaifu ukilinganisha na Hilary Clinton. Hivyo Russia alijaribu tu kuingilia mifumo ya uchaguzi ili kumsaidia Trump. Trump hawezi kuwa kibaraka wa Russia hata kutekwa!
 
Trump hakupandikizwa na Russia. Sema Russia alimuunga mkono akiamini Trump ni dhaifu ukilinganisha na Hilary Clinton. Hivyo Russia alijaribu tu kuingilia mifumo ya uchaguzi ili kumsaidia Trump. Trump hawezi kuwa kibaraka wa Russia hata kutekwa!
Lego lilifeli au lilifanikiwa? Kama lilifanikiwa kiintelijensia tunaita pandikizi.
 
Trump hakupandikizwa na Russia. Sema Russia alimuunga mkono akiamini Trump ni dhaifu ukilinganisha na Hilary Clinton. Hivyo Russia alijaribu tu kuingilia mifumo ya uchaguzi ili kumsaidia Trump. Trump hawezi kuwa kibaraka wa Russia hata kutekwa!
Code:
Hivyo Russia alijaribu tu kuingilia mifumo ya uchaguzi ili kumsaidia Trump

Kwanza hapo situkwamba arijaribu kuingilia mifumo,bali ni aliingilia na kufanikisha kumuweka Trump madarakani.
Lakini pia suala la Trump kuwa ni pandikizi au siyo pandikizi wa Urusi,bado ni CODE ambayo haijafunguliwa na haiwezi funguliwa hii leo mapema hivi.Uwenda vizazi vijavyo huko mbele wakafunguliwa CODE hizo na suala likiwa wazi.
Turudi kwenye ishu ya KGB tukilinganisha na mashirika mengine.Baadhi ya wadau wanaona kupitia Oleg kuwa KGB ni wachovu ukilinganisha na CIA na M16 kwa tukio hilo la kisaliti katika miaka hiyo 85 na huku wakiendelea kuamini hivyo mpaka leo.
Sasa swali linakuja kuwa,ni vipi KGB wachovu waweze kuingilia mifumo ya uchaguzi na wafanikiwe dhidi ya CIA wasio wadhaifu ukilinganisha na KGB?.[emoji16][emoji38][emoji28]
 
Dah vipi Aldrich yeye ilikuwaje?
 
Inawezekana huu uzi ndio umekwisha, shukrani kubwa kwa mleta mada kwa jinsi alivyojitahidi kuleta episodes mfululizo hadi kuleta raha kufatilia.

My take kuhusu huu uzi, kwa njia moja ama nyingine mimi au wewe msomaji unaweza kuingia mazingira ya watu fulani, kampuni ficho za kijasusi kukutumia kwa fedha kuuza taarifa nyeti za nchi kutoka na wadhifa wako. Usidhubutu kutoa ushirikiano hata chembe, usaliti kwa ardhi uliyotwaliwa ni laana kwako na kizazi chako lakini ikitokea idara za usalama zikaja kushtuka utalipia gharama kubwa wewe na familia yako yote.

Ni vizuri kubakia na somo hili maana hii habari ya Oleg imempa ushujaa na pengine kuishi kama executive citizen wa UK na kuleta ushawishi wa kuwa double agent [emoji23] lakini pengine hatujafikiria kiwango cha damage aliyofanya kwa Taifa lake hadi leo. Oleg kusaidia kuepusha vita ya nyuklia inawezekana ni kachumbari tu ila hiyo vita iliepukwa na mambo mengi wakati ule.

Nimeona niangalie kwa jicho tofauti hasa somo nyuma hii stori.
 
Kitasa ndo basi tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…