Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

SEHEMU YA NANE
Aliporudi nyumbani nyumbani mapema January 19670,alikuta mambo yapo tight kuliko alivyoondoka ,ukandamizaji kwa raia ulizidi. Ukikutwa na bidhaa au Jambo lolote ,iwe ni mavazi,au vitabu vyenye maswala ya west unasekwa ndani. Utawala wa bwana Brezhnev uligubikwa na kila aina ya ubabe,rushwa ,ujuaji n.k. Ni kwamba mpaka raia wakawa wanapelelezana wao kwa wao . Kila uliyekutana naye hakuwa na tabasamu, na ole wako ukutwe una urafiki na raia wa kigeni,lazima ungekuwa suspect na kitengo.Propaganda ndio ilikuwa inapigiwa chapuo ,kuisifu serikali,kuhubiri uzalendo n.k. Bwana Oleg hakuwahi kuona furaha baada ya kurudi kutoka Denmark,kwa kuwa Mambo yalikuwa yako tight kuliko ilivyotarajiwa. Kila mahali uendapo serikali ilikuwa inajua. What a stressful life to be watched for every step you make.
Oleg alirudishwa kwenye idara ile ile ya FCD pale makao makuu ya KGB kufanya paperwork,na kipindi hicho ndoa yake ilikuwa katika Hali mbaya Japo hawakuwahi kukaa chini ku settle all matters Na bibiye Yelena. The feminist woman. [emoji28].
Miaka miwili iliyofuata Japo alipandishwa cheo na malipo yalikuwa mazuri ,ni kwamba hakuhisi utofauti wowote ,achilia mbali kazi aliyoifanya miaka mitatu iliyopita. Hii ni kutokana na mfumo aliokuwa anautumikia pamoja mifarakano ndani ya ndoa yake.
Bwana Oleg kipindi hiki aliamua kujifunza lugha ya kingereza akiamini huenda post itakayokuja huenda akatumwa u.s au Britain au nchi yoyote ya commonwealth. Lakini kwenye ulimwengu wa kijasusi ikiwa umetumwa kufanya ujasusi kwenye nchi nyingine halafu ukahisiwa na kurudishwa nyumbani uwezekano wa kutumwa Tena nje ya nchi yako unakuwa ni mdogo sana. Hii ni kwa sababu ,alikuwa ameshaanza kuhisiwa nyendo zake na idara ya ujasusi ya PET akiwa Denmark kwamba bwana huyu uwezekano wa kuwa jasusi wa KGB ni mkubwa.
Aliamua pia kujifunza kifaransa akiamini huenda post inayofuata ikawa ni Morocco.
Upweke uliendelea kumwandama na kazi kwake hakuiona Ina umuhimu , mahusiano yakizidi kumpa msongo wa mawazo. It was not over . Ngoma ilikuwa bado mbichi.



***************@************

Tukienda Hadi nchini uingereza, kulikuwa Kuna afisa mmoja wa shirika la ujasusi la uingereza kipindi hicho lilijulikana kama secret intelligence service/SIS. Huyu bwana mdogo alikuwa ametokea huko Canada muda mfupi na kurejea home kwenye majukumu ya kitengo. Alikuwa anapitia "personal file" Moja alilokuta ofisni mwake . Na ni kawaida kwa hizi idara za ujasusi kukutana na file mezani la KAZI maalumu unayopaswa kuikamilisha.
Aliitwa Geoffrey guscott. Ni bwana mdogo aliyekulia huko south -east London baba yake akiwa ni wale printers daraja la working -class. Huyu chalii alipata ufadhili na kusoma Dulwich college na Cambridge kujiendeleza zaidi hususan kwenye lugha za kirusi na Czech. Kwenye graduation yake 1961alipata barua ya mwaliko isijulikane ilikotoka,kwamba anatakiwa kufika London. Huko London alikutana na veteran wa kitengo wa SIS(Baadaye ilikuja kutambulika Kama M16). Kwa hiyo rasmi bwana mdogo tokea akawa ameajiriwa na kitengo akiwa na miaka 24 tu.
Mwaka 1965 alitumwa Czechoslovakia kipindi nchi hiyo inafukuta na joto la reformation.
Miaka mitatu akiwa Czechoslovakia alikuwa anamtumia jasusi wa nchi hiyo ya Czech kukusanya infos(Kipindi kile Soviet anaivamia czech )mbalimbali na kuzituma kwa idara yake ya SIS.
Hapa Ili tuelewane ni kwamba jasusi wa CIA kutoka u.s anaweza kuja hapa TZ na kumwajiri jasusi wa TISS kupata infos zote za hapa nchini. ... concept imeeleweka[emoji108][emoji108].money talks[emoji39][emoji39].
Okay huyu bwana guscott alikuwa anamtumia jasusi aliyejulikana kwa jina la uficho la FREED kipindi hicho kupata infos zote kipindi Cha uvamizi wa urusi huko Czech au Prague spring. Hivyo huyu bwana mdogo baada ya maandamano kuzimwa huko Czechoslovakia alirudishwa nyumbani ikawa kazi yake ni kupandikiza majasusi (illegals) nchini humo na nchi zilizopakana na Czechoslovakia kupata infos mbalimbali kuhusu Soviet bloc.
Sasa bwana huyu akiwa hapo ofisni kwake ,file alilokuwa anapitia lilikuwa ni file la taarifa nyeti na nzito za afisa mmoja aliyefukuzwa kwenye idara ya ujasusi ya Czechoslovakia . lilikuwa ni file juu limeandikwa kwa wino mzito DANICEK. Lilikuwa ni jina/codename la taarifa sensitive na classified information za stanislav Kaplan (swahiba wa Oleg). Ambaye ndio huyuhuyu alikuwa anamtumia kukusanya taarifa kipindi akiwa Czech.

Huyu bwana ni kwamba baada tu ya Prague spring alichukua likizo na kwenda Bulgaria.Na huko alitoweka asijulikane alipo. Baadaye akaja kuonekana ufaransa. Akajiunga na idara ya usalama ya ufaransa kwa kuifanyia kazi idara hiyo. Lakini kitengo Cha usalama Cha ufaransa wanauhusiano na MI6. Nao M16 wakapata debrief ya huyu afisa wa Czech ambaye kaamua kushirikiana na idara za ujasusi za magharibi. Na vilevile taarifa za huyu bwana stanislav zikawafikia Hadi CIA mezani kwao . Huyu bwana alitoa ABCD zote kuhusu jinsi idara ya ujasusi ya Czechoslovakia inavyofanya kazi ,kipindi anasoma Moscow alitoa Hadi taarifa za mabest zake aliokuwa nao huko . Wengi aliowataja ambao wako interested kufanyia kazi nchi za magharibi walikuwa ni WA Czech lakini jina Moja tu lilikuwa la ki Russia. Jina la Oleg Gordievsky.
Akaulizwa kutoa details za kutosha kuhusu huyu mwamba . Akazitema kama zilivyo.
Hizi taarifa zote bwana guscott alikuwa anazisoma kwenye file Hilo la DUNICEK.
Ni kwamba Guscott alilifanyia Jina la Oleg Gordievsky cross-reference za kutosha na kugundua kwamba huyu bwana alishawahi fanya kazi huko Copenhagen kama afisa wa ubalozini mwaka 1966. Na kwakuwa MI6 na PET wanauhusiano wa kikazi ,alipitia pia ma file ya idara ya usalama ya PET akaja kugundua alikuwa anahisiwa na kutiliwa mashaka huenda ni kachero wa KGB na idara hiyo. Pia akapata kufahamu akiwa huko alikuwa na urafiki na baadhi ya maaskari na Wachungaji wa ki lutheran na pia ndoa yake Ina Mgogoro. Mpaka taarifa zake za kurudi kwake nyumbani huko Moscow.
Baada ya hapo bwana guscott akaamua ku note hili jina pembeni na kulifungulia file lake special na kupewa jina la SUNBEAM. /Person of interest .
 
Nimeanza kuielewa hasa ulipoacha kumtumia Balozi wa Cuba hapo sawa!!

Lakini KWA mantiki yako inaonekana na huyo Balozi kachomeshwa !


Naendelea kufuatilia mkuu!!
Kipindi nasoma secondary mifano vivid ilikuwa inampa mtu extra credit kama bonus.. hivyo sitaacha kutoa mifano .. na hata kitabu kikiandikwa mwandishi hutanguliza samahani endapo mifano ya wahusika watakaotajwa kitabuni au kwenye story itamgusa mtu personally [emoji28][emoji28]
 
Kipindi nasoma secondary mifano vivid ilikuwa inampa mtu extra credit kama bonus.. hivyo sitaacha kutoa mifano .. na hata kitabu kikiandikwa mwandishi hutanguliza samahani endapo mifano ya wahusika watakaotajwa kitabuni au kwenye story itamgusa mtu personally [emoji28][emoji28]
Jamaa wameshakurushia kale la 5000/= au bado!!!?
 
09


Ni kwamba mwaka 1971 serikali ya uingereza wakati huo ikiwa chini ya pm Edward heath iliamua kutimua maafisa wa ki Soviet 105 waliosadikiwa kuwa ni makachero wa KGB . Hii operation ilijulikana kama Operation Foot. Kama tu shirika la ujasusi la Denmark la pET lilivyokuwa likifanya kupeleleza maafisa wa Soviet ,hivyo hivyo na uingereza walifanya . Uingereza ilikuwa inawafuatilia waandishi, wanadiplomasia,na wawakilishi wa urusi na kuweza kuwachambua wapi walikuwa na element za ujasusi na wapi hawana . Hivyo ikasadikika raia 105 wa urusi ni manjagu ,wakatimuliwa. Na mpaka uingereza wakaweza kugundua idadi kubwa hivyo ya majasusi,waliweza kumtumia jasusi wa urusi aliyekuwa mwakilishi wa ki Soviet nchini uingereza kwenye maswala ya viwanda vya nguo. Aliitwa Oleg lyalin(hana uhusiano na Oleg Gordievsky).Huyu alikuwa jasusi mbobevu na mtiifu wa KGB aliyekuwa anafanya kazi kwenye idara ndani ya kitengo Cha KGB kiitwacho thirteenth department . Hii ni idara special kwa ajili ya torture, assassination na kidnapping ndani ya KGB. Siri alizotoa ni mipango mikakati ya urusi kufanya mauaji ya watu maarufu uingereza. Vilevile aliwatonya kwamba urusi ilipanga kuleta mafuriko kwenye njia za reli ya chini ya ardhi huko uingereza hususan London . Hivyo M15 baada ya kupewa hizi infos wakaamua kuchukua jukumu la kutimulia mbali mrusi yoyote aliyekuwa na element za ujasusi nchini uingereza.

NB:M15 Ina deal na ujasusi wa ndani na M16 Ni ujasusi wa nje .. refer FBI VS CIA.

Hili tukio liliwavua sana nguo Urusi kiasi kwamba hata idara ya FCD ambayo bwana Oleg Gordievsky ilipata pigo kwa maana baadhi ya majasusi waliotimuliwa huko uingereza walikuwa chini ya hii idara.Hii ilikuwa pigo sana kwa urusi maana assets zao zimekuwa compromised. Na vilevile baadhi ya taarifa za Siri za kiintelijensia zilipotea na kuwapa hasara . Hapo baadhi ya vigogo wa idara mbalimbali ndani ya kitengo wakaanza kutumbuliwa . Kwa mfano idara ya FCD aliyopo Bwana Oleg kigogo wake alitumbuliwa na akawa replaced na Bwana Dimitri Yakushin.
Ukiwa na boss mpya Kuna kuwa na changamoto zake sana hususan mwenye misimamo mikali na damu haziendani . Ni wakati bwana Oleg alipotishiwa kufukuzwa kazi kwa hasira za mkuu wake kutokana na kutimuliwa kwa majasusi huko uingereza.

Kwa miaka mingi Sasa kaka yake Oleg,bwana Vasili alikuwa ni mpiga vyombo mzuri sana. Akiwa anafanya kazi za kijasusi. Kama illegal huko south-east Asia alipata homa ya ini na kushauriwa aachane na gambe na madaktari . Lakini mwamba aliendelea Hadi umauti ulipomkuta akiwa na miaka 39. Alipewa heshima ya kijeshi na KGB.zikapigwa automatic machine gun Kama salute huku geneza lake likiwa limefunikwa na bendera ya Soviet likishushwa taratibu kwenye crematorium. Oleg alitazama geneza la bro wake huku akiwaza ni jinsi gani alifichwa mambo mengi yeye na alitamani kuyajua. Oleg hakuwahi jua kaka yake alikuwa anafanya Nini nchini Czechoslovakia mpaka umauti unamkuta. Hakuwahi yaelewa maisha ya kaka na Wala hakuwahi kumuuliza. Kiuhalisia walikuwa karibu kipindi Cha uhai wake Kama mtu na nduguye lakini mioyoni walikuwa wametengwa na ulimwengu mpana wa Siri nyingi .
Mama mtu na dada mtu wakiwa wameinamisha nyuso zao wakiomboleza ,yeye mzee alikuwa akitoa salute za mwisho kwa mwanaye wa kwanza kama jembe lililotumikia KGB kwa uzalendo wa Hali ya juu akiwa na ile Sense of proud.

kwenye idara nyeti hizi za usalama umbea ni kitu Cha kawaida sana . Bwana Oleg alipaswa kurudi Tena nchini Denmark kikazi . Hizi taarifa walikuwa Nazo Hadi PET/M16 .
 
Back
Top Bottom