Kama ni kweli hii habari njemaWasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Kinyonge saaana kudadadadeqKutoka Tanzania Abroad on X
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Yote sawa, atapitishwa, lakini Lisu aache kabisa KUROPOKA.
MGEMA AKISIFI TEMBO HULITIA MAJI NDICHO ANACHOFANYA LISU.
LAZIMA KUWA NA KABA YA ULIMI
ANAROPOKA SANA. HAFAI KUWA KIONGOZI WA JUU
Labda sio Mbowe wa sasa ,hivi unategeme huyu Mzee Mbowe atafanya nini nje ya siasa?Wasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Maccm kwa nini mnataka Mbowe aendelee? Mnamuogopa sana Lissu.Inaonekana Wafuasi Wa Lisu Hawajiamin Kabisa, Yaan wanajua mbowe akigombea basi lisu hatoboi, ndio maana kiu yao kubwa mbowe asigombee, maana kama kweli lisu angekuwa na ushawish kwa wanaCDM basi angeachwa mbowe agombee kisha wao wasimchague wanchague huyo lisu ila wanajua akigombea atashinda kwasababu wafuasi wa lisu wapo huko X na wafuasi wa mbowe ndio wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM.
Matusi ruskaa
Nilishaandika humu jf wale hawagombani wala hawagombanishwi na yeyote yule katika Inji hii 😳🙌 !Wasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Kwa hiyo Yeye ndiye atagombea uRais wa JMT kupitia Chadema?Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Kama ni kweli hili ni pigo kubwa kwa CCM kwani wamewekeza nguvu kubwa kuhakikisha Mbowe anaendelea kuwa mwenyekiti.Wasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Maneno kuntu haya,Mbowe alinde heshima tuliyompa kwa miaka 20 kwa kustaafu na abaki kuwa mlezi akitumia busara zake kuganga majeraha yatokanayo na mtanange huu na kuwaunganisha wanachama wawe wamoja kuikabili CCM mwakani.Huo ndio uamuzi pekee wa HEKIMA na BUSARA alionao sasa...
Nje ya hapo, anakwenda kudhalilika bila sababu za msingi....
Achilia mbali kushinda uchaguzi iwapo atagombea, lakini hata ikitokea amegombea na akashinda, uongozi wake awamu hii utakuwa mgumu sana....
Na kwa maamuzi yake ya kuendelea, ajue tu kuwa ata - demoralize kundi kubwa la wana CHADEMA, wapenzi (nikiwemo mimi) na mashabiki wa chama hiki...
Kwa kifupi atabaki na watu haohao waliokuja kwake jana kumwaga sumu dhidi ya mpinzani wake Tundu Lissu...
Miaka ya 2009, 2014 na 2019 tulimtetea kweli aendelee kuwa mwenyekiti kwa sababu hakukuwa na mtu sahihi wa kuvaa viatu vyake...
Mwaka huu 2024, mtu sahihi, makini na mwenye misimamo thabiti pengine kuliko yeye amepatikana na karibu dunia nzima inasema HUYU NDIYE MTU SAHIHI KUKALIA KITI HICHO...
Please, ndugu Freeman Mbowe pumzika kwa amani na kwa heshima zote huku ukiwa umekiacha chama kikiwa imara bila lawama tena mikononi mwa mtu sahihi kabisa Mh Tundu Lissu...
Na afahamu tu, Tundu Lissu hawezi ku back down hii vita kirahisi. Watapambana hadi dakika ya mwisho na wasipokuwa makini watararuana na kuacha makovu makubwa chamani na kutibika kwake itachukua miaka kadhaa...
Freeman Mbowe aache kujisifu kupita kiasi hata kujiona yeye ni CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Dhana hii ni hatari sana...
Hayo ya CCM tuwaachie wenyewe kwa sababu hicho siyo chama cha siasa tena bali ni chama dola.Uamuzi wa hekima na busara ungekua wa CCM kutangaza nafasi ya mwenyekiti kupigiwa kura badala ya kusimikwa kichifu.
Tutavuka daraja tukilifikia.Kwa hiyo Yeye ndiye atagombea uRais wa JMT kupitia Chadema?
Huyo ni chawa wa Mbowe kama alivyo Yercko na BoniyaiKwahiyo mnataka mbowe aendelee kuwa mwenyekiti!
Wewe ni mtu wa huko kaskazini sio??
Siku zote naitakia mema CHADEMAWasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Wasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
uamuzi ni wakena kitakufa vibaya akigombea
Hakuna sababu za kukimbia USA wameisha kuwa wamoja japo palikua na makundi ya kila mfuasiYeriko na wenzake watakimbia.
Chadema watatoka wamoja baada ya mbowe kumuunga mkono Tl, muda ni rafiki mwemaNimeagiza mahindi milipuko... Tayari kuangalia hii tamthilia
Ipasuke mara ngapi tena?
Usisahahu John Mnyika aeshasema, 'wanenda kutiana ngeu'