Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

Tetesi: Tarehe 21/12/2024 Mbowe atatangaza rasmi kutogombea uenyekiti na atamuunga mkono Tundu Lissu

Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Kama ni kweli hii habari njema
 
Hawa watu waliwagea waTanzania mtu wa kumpigia kura ambaye wanaamini hana uwezo wa kuongoza hata mtaa. Kwakua chadema inaamini hivyo naamini hata JPM kushinda kwa 80%+ inawezekana kabisa.

Kwakua hawana imani naye yawezekana hawakujisumbua hata kwenda kupiga kura. Kama ni hivyo naamini kabisa hata chaguzi za serikali za mitaa wameshindwa fair and square kutokana na tabia ya kuweka wagombea ambao wao wenyewe hawana imani nao.

Mfano: Kwenye Halmashauri ya Mbulu kuna mtaa mmoja waliweka mgombea ambaye wakazi wote wanajua huyu mgombea ana ugonjwa wa akili.

Hawa watu siyo wa kawaida
 
Kutoka Tanzania Abroad on X

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.


Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Yote sawa, atapitishwa, lakini Lisu aache kabisa KUROPOKA.

MGEMA AKISIFI TEMBO HULITIA MAJI NDICHO ANACHOFANYA LISU.

LAZIMA KUWA NA KABA YA ULIMI

ANAROPOKA SANA. HAFAI KUWA KIONGOZI WA JUU
Kinyonge saaana kudadadadeq
 
Inaonekana Wafuasi Wa Lisu Hawajiamin Kabisa, Yaan wanajua mbowe akigombea basi lisu hatoboi, ndio maana kiu yao kubwa mbowe asigombee, maana kama kweli lisu angekuwa na ushawish kwa wanaCDM basi angeachwa mbowe agombee kisha wao wasimchague wanchague huyo lisu ila wanajua akigombea atashinda kwasababu wafuasi wa lisu wapo huko X na wafuasi wa mbowe ndio wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM.

Matusi ruskaa
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Labda sio Mbowe wa sasa ,hivi unategeme huyu Mzee Mbowe atafanya nini nje ya siasa?
 
Inaonekana Wafuasi Wa Lisu Hawajiamin Kabisa, Yaan wanajua mbowe akigombea basi lisu hatoboi, ndio maana kiu yao kubwa mbowe asigombee, maana kama kweli lisu angekuwa na ushawish kwa wanaCDM basi angeachwa mbowe agombee kisha wao wasimchague wanchague huyo lisu ila wanajua akigombea atashinda kwasababu wafuasi wa lisu wapo huko X na wafuasi wa mbowe ndio wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM.

Matusi ruskaa
Maccm kwa nini mnataka Mbowe aendelee? Mnamuogopa sana Lissu.
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Nilishaandika humu jf wale hawagombani wala hawagombanishwi na yeyote yule katika Inji hii 😳🙌 !
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Kama ni kweli hili ni pigo kubwa kwa CCM kwani wamewekeza nguvu kubwa kuhakikisha Mbowe anaendelea kuwa mwenyekiti.
 
Huo ndio uamuzi pekee wa HEKIMA na BUSARA alionao sasa...

Nje ya hapo, anakwenda kudhalilika bila sababu za msingi....

Achilia mbali kushinda uchaguzi iwapo atagombea, lakini hata ikitokea amegombea na akashinda, uongozi wake awamu hii utakuwa mgumu sana....

Na kwa maamuzi yake ya kuendelea, ajue tu kuwa ata - demoralize kundi kubwa la wana CHADEMA, wapenzi (nikiwemo mimi) na mashabiki wa chama hiki...

Kwa kifupi atabaki na watu haohao waliokuja kwake jana kumwaga sumu dhidi ya mpinzani wake Tundu Lissu...

Miaka ya 2009, 2014 na 2019 tulimtetea kweli aendelee kuwa mwenyekiti kwa sababu hakukuwa na mtu sahihi wa kuvaa viatu vyake...

Mwaka huu 2024, mtu sahihi, makini na mwenye misimamo thabiti pengine kuliko yeye amepatikana na karibu dunia nzima inasema HUYU NDIYE MTU SAHIHI KUKALIA KITI HICHO...

Please, ndugu Freeman Mbowe pumzika kwa amani na kwa heshima zote huku ukiwa umekiacha chama kikiwa imara bila lawama tena mikononi mwa mtu sahihi kabisa Mh Tundu Lissu...

Na afahamu tu, Tundu Lissu hawezi ku back down hii vita kirahisi. Watapambana hadi dakika ya mwisho na wasipokuwa makini watararuana na kuacha makovu makubwa chamani na kutibika kwake itachukua miaka kadhaa...

Freeman Mbowe aache kujisifu kupita kiasi hata kujiona yeye ni CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Dhana hii ni hatari sana...
Maneno kuntu haya,Mbowe alinde heshima tuliyompa kwa miaka 20 kwa kustaafu na abaki kuwa mlezi akitumia busara zake kuganga majeraha yatokanayo na mtanange huu na kuwaunganisha wanachama wawe wamoja kuikabili CCM mwakani.
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Siku zote naitakia mema CHADEMA
 
Wasalaam

Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.

Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.

Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.

Chadema wamejitahidi kujikuza kwa mara ya kwanza tanzania hadi chama
Tawala wanaongelea Uchaguzi wa ndan wa chama pinzani yaan nje ya chadema kuna makundi yamegawanyika kila Mtu kwa
Masilah yake anataka mgombea tofauti

Kitendo cha chadema kuweza kuofanya CCM na wanachama wao ifatilie
Uchaguzi wake wa ndan hata kama Kwa lengo tofauti kinaonyesha kuwa wanajua chadema wametengeza base nzuri to kwa raia. So wanajaribu kuwafanya wavurugane

Kawaida chaguzi za vyama za upinzan bongo zilikuwa hazina mvuto wa kuweza kutrend karibu wiki nzima lakin kwa chadema imekuwa tofauti

Na chadema wakichamga karata vizuri hapa watavuna wanachama
Wapya sana..
 
Nimeagiza mahindi milipuko... Tayari kuangalia hii tamthilia

Ipasuke mara ngapi tena?

Usisahahu John Mnyika aeshasema, 'wanenda kutiana ngeu'
Chadema watatoka wamoja baada ya mbowe kumuunga mkono Tl, muda ni rafiki mwema
 
Back
Top Bottom