Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Salary Slip usitoboe mtumbwi nawewe ungalimo, tujitahidi kuwaunganisha wanachama wote bila kujali huyu alikuwa upande gani.Yeriko na wenzake watakimbia.
Atakuwa fala yaani uondokewe kwenye nafasi Kwa shinikizo tena baada ya kudhalilishwa?Wasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
Duh, kuwa na kiwango Cha maneno muhimuUnaweza kumtetea tajiri kwa kumtukana mshindani wake, tajiri akakushangaza siku ukiwakuta wako meza moja na uliyemtukana kwa niaba yake wanakula bia na kucheka😄
Haahaa Kuna kundi linatumia maslahi binafsi kujinufaisha ndani ya chadema kwa kutumia Mgongo wa mbowe kugombeaSi wamesema watamlazimisha kuchukua fomu ?
Akifanya hivi, heshima yake iliyo anza kumegeka itasimama.Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
mkuu, hapo ulipo agiza chochote (sio kilevi) Nita-clear bill. wanipe lipa namba.Huo ndio uamuzi pekee wa HEKIMA na BUSARA alionao sasa...
Nje ya hapo, anakwenda kudhalilika bila sababu za msingi....
Achilia mbali kushinda uchaguzi iwapo atagombea, lakini hata ikitokea amegombea na akashinda, uongozi wake awamu hii utakuwa mgumu sana....
Na kwa maamuzi yake ya kuendelea, ajue tu kuwa ata - demoralize kundi kubwa la wana CHADEMA, wapenzi (nikiwemo mimi) na mashabiki wa chama hiki...
Kwa kifupi atabaki na watu haohao waliokuja kwake jana kumwaga sumu dhidi ya mpinzani wake Tundu Lissu...
Miaka ya 2009, 2014 na 2019 tulimtetea kweli aendelee kuwa mwenyekiti kwa sababu hakukuwa na mtu sahihi wa kuvaa viatu vyake...
Mwaka huu 2024, mtu sahihi, makini na mwenye misimamo thabiti pengine kuliko yeye amepatikana na karibu dunia nzima inasema HUYU NDIYE MTU SAHIHI KUKALIA KITI HICHO...
Please, ndugu Freeman Mbowe pumzika kwa amani na kwa heshima zote huku ukiwa umekiacha chama kikiwa imara bila lawama tena mikononi mwa mtu sahihi kabisa Mh Tundu Lissu...
Na afahamu tu, Tundu Lissu hawezi ku back down hii vita kirahisi. Watapambana hadi dakika ya mwisho na wasipokuwa makini watararuana na kuacha makovu makubwa chamani na kutibika kwake itachukua miaka kadhaa...
Freeman Mbowe aache kujisifu kupita kiasi hata kujiona yeye ni CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Dhana hii ni hatari sana...
Yatakuwa maamuzi Bora kuwai kufanya toka nimeanza kufatilia siasa
yeriko kajishushia credit hakupaswa kujionesha vile kuwa ni chawa wa upande uleYeriko na wenzake watakimbia.
bajaj itabondeka, atabebwa na mkokoteni kama furushi la takaBoniyai hata kukimbia hawezi na ule mwili wote labda abebwe na Bajaji.
na wale chawa wa kigeni waliohamia kwa mboweHaahaa nitaamini nikiona, wale machawa kina boni yai na yeriko itakuwaje?
na kitakufa vibaya akigombeaAgombee kife
aende peponi kufanya nini? Ataenda kuzimuBoni Yai atakonda mpk atakuwa mwembamba kama fimbo. Na baada ya mwezi mmoja ataenda peponi.
Kwani anemaanisha kukimbia riadha? 🤣🤣😜Boniyai hata kukimbia hawezi na ule mwili wote labda abebwe na Bajaji.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.Wasalaam
Habari za uhakika kabisa kutoka ndani ya familia ya Freeman Mbowe ni kwamba amekubali ushauri wa wanafamilia na wazee wa CHADEMA kutogombea uenyekiti wa CHADEMA na badala yake atakikabidhi chama kwa Lissu.
Habari zaidi zinasema mh Mbowe ataelekeza nguvu zake zote kuunganisha wanaCHADEMA wote ili kuing'oa CCM madarakani katika uchaguzi mkuu wa 2025.
Hivyo wale wote mliokua mnategemea CHADEMA ipasuke na kuvugana imekula kwenu.
chadema imeshaingia kwenye mioyo ya watu wengi kama chama chenye uwezekano wa kuwa mbadala wa CCM bila kujali kuwa chama kiliundiwa kaskazini wala kuongozwa na wa kaskazini.Akifanya uamuzi huo tutamuheshimu sana, kwani hadi sasa tunaukubali uwezo wake uliokifikisha chama hapo kilipo, lakini tusingependa yeye atuhakikishie kuwa tulichokiamini siku zote kupitia siasa za chadema na taifa kwa ujumla, sicho alichokiamini...
chadema imeshaingia kwenye mioyo ya watu wengi kama chama chenye uwezekano wa kuwa mbadala wa CCM bila kujali kuwa chama kiliundiwa kaskazini wala kuongozwa na wa kaskazini.
Mbowe amwachie TAL hatamwangusha maana wengi tunaikubali misimamo yake na hatuna shaka atatupeleka mbele katika mustakabali wa siasa za nchi hii. People's power ifufuke upya kwa damu mpya katika uongozi wa juu wa chama.
Tunakuomba Mh. Freeman A. Mbowe mwachie Lissu hata kama itakuumiza nafsi ila tutakuheshimu daima.
Pamoja na ule usanii lakini bado nadhani ktk siku 2 hz alizojipa kutafakari bila shaka atakuwa ameona na kujiridhisha wanachadema walio wengi wanataka nn!!.Sasa yale maigizo pale kwake yalitoka wapi?