Uchaguzi 2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

Uchaguzi 2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

Kama kawaida ya kila mwanachadema
Tarehe 28/10/2020 imeshafika. Nakushauri uwe sehemu ya historia kuu inayoenda kuandikwa Tanzania siku ya leo. Chagua Tundu Antiphas Lissu awe Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania
 
Ni siku kuu Siku ileee, Ya kumkiri Mwokozi, Moyo Umejaaa Teleee Kunyamaza Hauwezi

Siku Kuu Siku kuu, Ya kuoshwa dhambi zangu Kuu, Hukesha na Kuomba tuuuu........🎼🎼

Ndugu watanzania, leo ndo ile siku yetu kuu, ya kuweka historia kuu, hapa Tanzania, twendeni tukapige kura kumuondoa Magufuli na Ccm madarakani ili tuweke mustakabali bora wa Tanzania yetu na vizazi vyetu vijavyo. Imetosha hakika. Tukamchague Tundu Antiphas Lissu kwa ajiri ya Tanzania mpya yenye Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
 
Sina uchungu nae, nasimamia haki! Siwezi kuwa sawa na mtu muuaji, mtekaji, na anaebambikia watu makesi

Siwezi pia kum support mtu aliyeharibu uchumi wa nchi na kutengeneza nchi ya wachuuzi badala ya walipa kodi
Pole kwa mkasa wa vyeti Feki! Haya yameefanyika kwa maslahi makubwa ya Taifa. Tunashukuru JPM ametuingiza uchumi wa kati ameusimamia vyema wakati wa korona hata waliokumbele yetu kwa mbali kwa sasa wanatuonea wivu, njia aliyochukua juu ya COVID-19 Dunia yote inafuata. Waliosema tusifanye kazi tujifungie kwa kuwa kuna korona leo wanakusanya watu bila aibu! Sidhani kama kuna haki. Kodi na maduhuli ya Serikali yanalipwa vyema sasa kuliko wakati mwingine, lipa hata elfu tatu tu ya umeme moja kwa moja kwenye akaunti kupitia GePG ya Serikali! Lazima achukiwe na wachumia tumbo wote, na amekubali kujitoa kwa ajili yetu,tano tena aendelee kujenga Nchi!
 
Pole kwa mkasa wa vyeti Feki! Haya yameefanyika kwa maslahi makubwa ya Taifa. Tunashukuru JPM ametuingiza uchumi wa kati ameusimamia vyema wakati wa korona hata waliokumbele yetu kwa mbali kwa sasa wanatuonea wivu, njia aliyochukua juu ya COVID-19 Dunia yote inafuata. Waliosema tusifanye kazi tujifungie kwa kuwa kuna korona leo wanakusanya watu bila aibu! Sidhani kama kuna haki. Kodi na maduhuli ya Serikali yanalipwa vyema sasa kuliko wakati mwingine, lipa hata elfu tatu tu ya umeme moja kwa moja kwenye akaunti kupitia GePG ya Serikali! Lazima achukiwe na wachumia tumbo wote, na amekubali kujitoa kwa ajili yetu,tano tena aendelee kujenga Nchi!
Nani ana cheti feki??? Nimekwambia mie ni msomi mwenye kazi ya maana na exposure kubwa kuliko hata wewe!!

Uko uchumi wa kati upi??? Kwa akili yako Tanzania kweli iko uchumi wa kati???

Hiyo corona mnayotumia kama mtaji wenu mbona haijaathili Zambia??? Msumbiji??? Congo???? Hamjioni kama ni wajinga kutumia corona kama mtaji wakati sehemu kubwa ya africa haijaathili???
 
Nani ana cheti feki??? Nimekwambia mie ni msomi mwenye kazi ya maana na exposure kubwa kuliko hata wewe!!

Uko uchumi wa kati upi??? Kwa akili yako Tanzania kweli iko uchumi wa kati???

Hiyo corona mnayotumia kama mtaji wenu mbona haijaathili Zambia??? Msumbiji??? Congo???? Hamjioni kama ni wajinga kutumia corona kama mtaji wakati sehemu kubwa ya africa haijaathili???
Ninazidi kukuelewa utakuaje kuwa una elimu ya juu na exposure kuliko mtu usiyemjua?! Kwa hiyo wote na Benki ya Dunia waliothibisha kuwa TZ ipo uchumi wa kati hawajui kitu ispokuwa wewe?! Hongera sana!!!
 
Nani ana cheti feki??? Nimekwambia mie ni msomi mwenye kazi ya maana na exposure kubwa kuliko hata wewe!!

Uko uchumi wa kati upi??? Kwa akili yako Tanzania kweli iko uchumi wa kati???

Hiyo corona mnayotumia kama mtaji wenu mbona haijaathili Zambia??? Msumbiji??? Congo???? Hamjioni kama ni wajinga kutumia corona kama mtaji wakati sehemu kubwa ya africa haijaathili???
Kwa heshima aliyoipa Nchi JPM kula za wazalendo zote tunampa! Nchi kama Rwanda, Kenya, Burundi, Malawi zinapasua anga halafu Tanzania kimya, wakati ina raslimali kuliko wote hao zikiwemo za pekee kama Tanzanite! Asante JPM kura za ujazo tunakupa leo.
 
Tarehe 28/10/2020 imeshafika. Nakushauri uwe sehemu ya historia kuu inayoenda kuandikwa Tanzania siku ya leo. Chagua Tundu Antiphas Lissu awe Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania
Kumpigia kura lissu ni kuuza nchi na uhuru wake. Kuirudisha nchi kwa mabeberu 2020 inafuta mantiki ya wazee wetu kupigania uhuru 1961.

Na by the way we unampigiaje kura huyo lissu wakati kila post yako unatwambia uko Canada?
 
Kumpigia kura lissu ni kuuza nchi na uhuru wake. Kuirudisha nchi kwa mabeberu 2020 inafuta mantiki ya wazee wetu kupigania uhuru 1961.

Na by the way we unampigiaje kura huyo lissu wakati kila post yako unatwambia uko Canada?
Kumpigia kura Lissu ni ishara ya ukombozi wa nchi yetu kifikra, kiuchumi na kimaendeleo. Kama hadi leo Kuna watanzania wanakunywa maji ya tope, wanakatishwa kwenda shule kwa maisha duni na hawapati elimu bora, huku viongozi wa Ccm ndo wakijineemesha kwa jasho la wananchi hakuna namna Ccm wanatakiwa kurudi madarakani.

Niko njiani sasaivi naelekea kituo cha kupiga kura jimbo la ubungo. Huko Canada labda upo wewe.
 
Tayari nimepiga kura ya Haki, Uhuru na Maendeleo ya watu.
 
Heshima gani aliyoipa nchi??? Tanzania inayotolewa matamko na umoja wa mataifa na wadau wa maendeleo ambao wanatuona tumekuwa kisiwa cha unyanyasaji na mauaji???
Kwa heshima aliyoipa Nchi JPM kula za wazalendo zote tunampa! Nchi kama Rwanda, Kenya, Burundi, Malawi zinapasua anga halafu Tanzania kimya, wakati ina raslimali kuliko wote hao zikiwemo za pekee kama Tanzanite! Asante JPM kura za ujazo tunakupa leo.
 
Back
Top Bottom