BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mateke ya mwisho kwa ng'ombe anaejifia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni sehemu ya Tanzania hapapaswi kupelekewa miradi kiupendeleo na bila kufuata taratibuNaomba ukumbuke pia Chato ni sehemu ya Tanzania, hivyo inayohaki ya kujengwa na kuendelezwa kama sehemu zingine! Usisahau kuna utalii mkubwa wa Burigi, jirani na Geita, ni eneo la kimkakati kukuza uchumi.
Sina uhakika kama ni upendeleo, je taratibu zipi hazikufuatwa?!Hata kama ni sehemu ya Tanzania hapapaswi kupelekewa miradi kiupendeleo na bila kufuata taratibu
Tenda ya ujenzi wa ule uwanja ilifanywaje??? Kampuni pia iliyojenga huo uwanja ilishindaje iyo tender??? Fedha za kujenga ule uwanja zilitengwa katika bajeti ipi ya serikali???Sina uhakika kama ni upendeleo, je taratibu zipi hazikufuatwa?!
Sijui sana kwa sababu si sehemu ya jukumu langu. Lakini ninadhani direct procurement ni sehemu ya mannuzi, pia Waziri wa Fedha anao uwezo wa kufanya reallocation kupitia Vote 21 nadhani kwa vyovyote itakuwa imefanyika.Tenda ya ujenzi wa ule uwanja ilifanywaje??? Fedha za kujenga ule uwanja zilitengwa katika bajeti ipi ya serikali???
Ndo ifanye hivyo kwa uwanja wa ndege wa kijijini kwa Raisi??? Kuna ulazima gani wa kufanya hivyo tena kuipa tender kampuni ya mume mwenza wa Raisi??Sijui sana kwa sababu si sehemu ya jukumu langu. Lakini ninadhani direct procurement ni sehemu ya mannuzi, pia Waziri wa Fedha anao uwezo wa kufanya reallocation kupitia Vote 21 nadhani kwa vyovyote itakuwa imefanyika.
Safi sana . Tukapige kura kwa nguvu kesho kumsimika mpakwa mafuta wa Mungu Tundu Antiphas Lissu kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025Mapema sana naenda kumuondoa mkoloni
Hata mie sikuwa na mda na siasa Ila nilipoona tamko la Magufuli kuzuia sukari kutoka nje limepandisha bei ya Sukari kutoka 1800-2800/3000 nimesema sipaswi kudharau siasa na natakiwa niipe kipaumbele sana.Mateke ya mwisho kwa ng'ombe anaejifiaView attachment 1613863View attachment 1613863
Iwe unajua shule zilianzia bukoba ,yashoma tukiambiwa lazima tuchanganye naza kwetu! Chato siyo kijiji ni makao makuu ya wilaya, achana na uzushi. Mimi sijui kama aliyepewa ni mume mwenzake, lakini pia hata kama ndivyo nadhani kapewa kwa sifa zake siyo kwa kuwa mume mwenza, ninwazi anao waume wenza wengi,kwa nini yeye. Mayanga Contractors ni kampuni daraja la kwanza ina deserve! Tusiamini kila tunachoambiwa na kina Tundulisu lazima kuchambua kama karanga, wahulila!Ndo ifanye hivyo kwa uwanja wa ndege wa kijijini kwa Raisi??? Kuna ulazima gani wa kufanya hivyo tena kuipa tender kampuni ya mume mwenza wa Raisi??
Pole, ukiona matusi ni dalili za kuishiwa hoja!Ukiona mtu anasema mitano tena ujue tayari Ccm waneshachukua akili yake. Huwezi kumpigia kura Magufuli aendelee kuwa Raisi wa Tanzania kama umepewa akili timamu na Mungu.
Unasema chato ni makao wakuu ya wilaya, Bukombe ni Makao Makuu ya nini?? Biharamulo ni Makao Makuu ya nini???Iwe unajua shule zilianzia bukoba ,yashoma tukiambiwa lazima tuchanganye naza kwetu! Chato siyo kijiji ni makao makuu ya wilaya, achana na uzushi. Mimi sijui kama aliyepewa ni mume mwenzake, lakini pia hata kama ndivyo nadhani kapewa kwa sifa zake siyo kwa kuwa mume mwenza, ninwazi anao waume wenza wengi,kwa nini yeye. Mayanga Contractors ni kampuni daraja la kwanza ina deserve! Tusiamini kila tunachoambiwa na kina Tundulisu lazima kuchambua kama karanga, wahulila!
Pole, ukiona matusi ni dalili za kuishiwa hoja!
Pole macho yako hayaoni jema lolote la JPM! Toa tano tukamilishe Tanzania ya viwanda!Mradi wa ndege una business plan ipi ya kutengeneza faida??? Ndege zetu zinasafiri wapi na wapi???
Barabara kajenga barabara ngapi magufuli??? Au fly-over ya mfugale ambayo mvua ya masaa 5 tu inasababisha ifurike maji???
Masoko ya madini yamefanya nini cha ziada??? Au unasikiliza takwimu zao za kupika izo na unaziamini???
Ushirika gani umeboreshwa??? Huo ambao haujalipa pamba kanda ya ziwa??? Huo ulioshindwa kwenye korosho na mbaazi??? Au huo uliofeli kwenye tumbaku na kahawa na wakulima wamekuwa wasikini wa kutupwa???
Unasema serikali inajitegemea kimapato, kivipi???? Wakati kila siku tunaona katibu mkuu wizara ya fedha akipokea fedha za misaada kutoka kwa wazungu???
Class one contractor! Kila mradi ni unique sijui hiyo ya Kigoma ina shida gani! Hata Hai ni makao makuu ya Wilaya tunacho kiwanja cha ndege cha KIA mbona siyo isssue,tusiwe na double standard!Unasema chato ni makao wakuu ya wilaya, Bukombe ni Makao Makuu ya nini?? Biharamulo ni Makao Makuu ya nini???
Hiyo Mayanga Construction unajua kuna barabara wamepewa kigoma hawajamaliza kuijenga kwa miaka zaidi ya 8???? Ina ubora gani wa kupewa kujenga uwanja Chato???
Viwanda gani ???? Hivi vya chereani 10?????Pole macho yako hayaoni jema lolote la JPM! Toa tano tukamilishe Tanzania ya viwanda!
Angalia umesema tunaomchagua kesho JPM hatuna akili!Kuna tusi gani hapo??
Huyo atakuwa Raisi ila JPM ni Rais!Viwanda gani ???? Hivi vya chereani 10?????
Kwa maendeleo ya kweli ya watanzania, uhuru wa kweli na haki kweli, lazima tumchague Tundu Antiphas Lissu kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo kesho.
Double standard ipi??? Kuna uniqueness ipi kwenye ile barabara hadi watumie miaka karibu 10 na haijakamilika hadi leo??Class one contractor! Kila mradi ni unique sijui hiyo ya Kigoma ina shida gani! Hata Hai ni makao makuu ya Wilaya tunacho kiwanja cha ndege cha KIA mbona siyo isssue,tusiwe na double standard!
JPM labda awe Rais wa Chato!!Huyo atakuwa Raisi ila JPM ni Rais!
Hai ni makao makuu ya Wilaya kuna uwanja wa ndege wa kimataifa siyo issue, Chato ni makao makuu ya Wilaya kuwa na uwanja wa ndege ni tatizo,kwa nini?!Double standard ipi??? Kuna uniqueness ipi kwenye ile barabara hadi watumie miaka karibu 10 na haijakamilika hadi leo??