Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #121
Ukiona mtu anasema mitano tena ujue tayari Ccm waneshachukua akili yake. Huwezi kumpigia kura Magufuli aendelee kuwa Raisi wa Tanzania kama umepewa akili timamu na Mungu.😢😢😢 Nafikiria MITANO TENA halafu vile namna vyuma vitatunyonga tukufe dah!