Uchaguzi 2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

Uchaguzi 2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

Nipo kahama hapa submarine panatoka macontainer ya kupogia kura kila siku chadema fuatilieni na kuna watu waccm wanakaa hapa akiwemo kishimba aliyekuwa mbunge wa sasa wa ccm embu fuatilieni mujihakikishie
Asante kwa taarifa ndugu, ila fafanua kidogo , Kuna kitu gani unakiona kinaendelea hapo?
 
Kwa mfano niliouona kwenye kura za maoni za wajumbe wa Ccm mwaka huu, Nina imani kwa asilimia 100 kuna historia kuu lazima iandikwe mwaka huu!
Hahaha mi ccm mijinga ile!, eti jitu linashinda kura za maoni, linaondolewa halafu anawekwa mtu ambaye kapata kura moja, lenyewe linaambiwa litateuliwa halafu linakubali, si ujuha huo?!

Aliyekukata anakuteua vipi sasa?!
Tena hayo ndiyo usiyategemee kabisa.
 
Musoma,Tanzania

Kampeni za ubunge 2020 mgombea wa CHADEMA Mwalimu Mwita Julius afunika Kigera Musoma

 
Hahaha mi ccm mijinga ile!, eti jitu linashinda kura za maoni, linaondolewa halafu anawekwa mtu ambaye kapata kura moja, lenyewe linaambiwa litateuliwa halafu linakubali, si ujuha huo?!

Aliyekukata anakuteua vipi sasa?!
Tena hayo ndiyo usiyategemee kabisa.
Magufuli anataka kutufanya watanzania kuwa watu wajinga sana na anataka awe anatugeuza geuza kama anavyowafanya madoli yake. Ila mwaka huu Watanzania tunaenda kumwambia kwa sauti moja kuwa na sisi ni binadamu kama yeye na tuna heshima zetu na maamuzi yetu.

Tunaenda kuweka historia kuu katika bara za Africa hapo Tarehe 28 October . Kura zetu zote CCM na Chadema tunaziweka kwa Tundu Antiphas Lissu na tutazilinda hadi atangazwe!
 
19 September 2020
Masasi, Tanzania

Zitto Kabwe amuombea kura mgombea wa CHADEMA


Kiongozi wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe akimnadi na kumuombe kura mgombea udiwani wa kata ya Chiungutwa, Masasi Frank John kwa tiketi ya Chadema baada ya kukuta kata hiyo haina mgombea wa chama chake.
 
19 September 2020
Musoma,Tanzania

CHADEMA WASEMA SASA BASI NYAVU ZA WAVUVI KUCHOMWA MOTO



Asante sana Mkuu Bagamoyo. Chadema wana sifa zote za kustahili kuwa Chama Tawale kuanzia hapo November 2020
 
Handeni, Tanga
Tanzania

MGOMBEA UBUNGE CHADEMA AAHIDI BIMA ZA AFYA



Mgombea ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,(CHADEMA) jimbo la Handeni mjini mkoani Tanga, Andrew Stima,ameahidi endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo atawatafutia bima ya afya walemavu na wagonjwa wa akili ili kuweza kupata tiba kwani kundi hilo limesahaurika.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho katika Viwanja vya Handeni Square,mgombea huyo amesema kuwa,katika makundi ambayo yamesahaurika katika kupata huduma bora za afya,ni kundi la walemavu na wagonjwa wa akili hivyo akipata fursa ya kuwa mbunge atahakikisha analisaidia kundi hilo.

Katibu wa Chadema mkoa wa Tanga Gervas Msigwa amewataka wananchi kupima viongozi kwa sera zao na sio umaarufu wa majina majina yao kwani kwa kufanya hivyo,wanaweza kurudi nyuma kimaendeleo kwa kuanza moja kila mhula wa uchaguzi kuchagua tena kiongozi mwingine

Aidha katibu Chadema jimbo la Handeni Vijijini Ramia Kisalazo amesema wananchi wanatakiwa kujitokeza kupiga kura kwa manufaa yao na familia zao,kwani yeyote ambae hata piga amekubali kuchaguliwa kiongozi,kitu ambacho sio sahihi.
 
Vwawa, Mbozi
Tanzania

CHADEMA JIMBO LA VWAWA MAMBO MOTOMOTO



Kampeni za wagombea Wa Chama cha CHADEMA Ndg Fanuel Mkisi, Akindikizwa Na Aliyekua Mbunge Jimbo La Mbozi Ambaye Pia Ni Mgombea Ubunge Jimbo La Mbozi Ndg Pascal Haonga Kwa Tiketi Ya CHADEMA zazidi kupamba moto.
 
Arusha, Tanzania

# MDAHALO 2020 LIVE / MUBASHARA

MDAHALO KATI YA WAGOMBEA WA CHADEMA NA CCM ; NGAZI YA KATA WAVUTIA WATU WENGI NA SASA UMMA WAPENDEKEZA UWE WA NGAZI ZOTE



| Télévision Muungwana
 
Nimejifunza mengi sana kwenye mkutano fulani mh.lisu watu wako kimya ila wana mengi moyoni nimewaona hata wana ccm ninawafahamu wamemuelewa lisu.tuombe Mungu maana huyu Mungu ni wa wote
Sera za Lissu zinaingia kweli kwenye moyo na akili. Hadi kuna muda mtu unasema huyu ndo angekuwa tu Raisi wa Kwanza wa Tanzania. Huyu jamaa ni akili kubwa kweli. No wonder Mungu alisema hapana kwenye risasi za magufuli na watu wake
 
Inawezekana ikawa watanzania walishafanya maamuzi tangu 2010 sema maamuzi yao hayakuheshimiwa. Lazima njia za wizi zitambulike na zizuiwe 100%
 
Miaka 5 ya shida
Acha tu! Mie Kuna dogo ninamfahamu hadi amerudi kijijini. Hana ajira tangu amalize chuo mwaka 2015. CCM hawastahili hata kupewa tena mwezi mmoja baada ya October 2020!
 
Back
Top Bottom