Uchaguzi 2020 Tarehe 29 ni Kijani na Njano, kushoto, kulia, juu na chini

Najua kulewesha tuu...hivyo ukipata muda naomba unisaidie kujijibu

Hapana.. wewe nitaendelea tu kukuwuliza maneno sijui maana yake unapoyaandika.. karibu ng'ombe.. mbuzi.. kondoo.. ni raha tupu hapa kijijini.. pokea πŸ’›πŸ’šπŸ’›
 
Huyu mtu akishinda wanaojiita wanyonge watalia na kusaga meno
 
Hapana.. wewe nitaendelea tu kukuwuliza maneno sijui maana yake unapoyaandika.. karibu ng'ombe.. mbuzi.. kondoo.. ni raha tupu hapa kijijini.. pokea [emoji169][emoji172][emoji169]
Ngoja niache mashindano kuna siku tutakutana pahala tuyajenge
 
Boma Ng'ombe mistari ni mirefu ya wapiga kura na yote imejaa.
Naenda Machame kusini nione kinaendelea kitu gani huko?
 
Huyu mtu akishinda wanaojiita wanyonge watalia na kusaga meno

Acha kutumia meno wanyone.. sema nyie wadokozi na mafisadi n.k. .. wapenda vya dezo kwa kujaa uvivu.. kachukueni vya 20K mufanye biashara..

Leo πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’š
 
usibishane na watu walioharibika saikolojia mkuu, unaheshimika sana humu
achana na mental disorder people

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app

Ha ha haaaaa.. acha kudakia..kuna watu humu hatujuani.. na bila kujali vyama nk.. tunaheshimiana..

So tuliza boli.. leo utapokea dozi za kutosha .. nakuongezea πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰

MAGUFULI BABA LAOOOOOO
.. πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’š
 
salari
Usifikiri wote ni kama mabeberu wenu huko.. inaonyesha unajua mengi zaidi.. juu yake huyo mtu wenu.. sasa unamuingiza Baba lao kisa uchaguzi 🀣🀣🀣🀣

Utalii umeisha rudini kwenu kwa mabeberu wakawafunze hizo tabia zaidi na zaidi.. mpate mlo kila wakati

Leo πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’š
 
CCM inaafutwa saa hii kila kona.

pole sanaaaaaaaaa... leo lia tu..kesho kachukue kitambulisho cha 20K..ili uache kukaa kusubiri pesa za kudokoa..

tano tena kama kawaaaaaaaaaaaa

karibu kusherekea kuanzia 00:00 hrs usiku huu

πŸ’š πŸ’› πŸ’š πŸ’› πŸ’š
 
Karibuni woteeeeeeeee
Kesho ndio yaja.. maakulaji...
Sale zozote hata nyekundu na buluu karibuni.. na vidole juu.. wote wananchi wa Rais mpendwa JPM

Magufuli Tano tenaπŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…