Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Najua kulewesha tuu...hivyo ukipata muda naomba unisaidie kujijibuNieleweshe wewe.. unaniuliza nawe ulinambia maana..au.. unasemaje!!!!
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua kulewesha tuu...hivyo ukipata muda naomba unisaidie kujijibuNieleweshe wewe.. unaniuliza nawe ulinambia maana..au.. unasemaje!!!!
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
Najua kulewesha tuu...hivyo ukipata muda naomba unisaidie kujijibu
Huyu mtu akishinda wanaojiita wanyonge watalia na kusaga menoNi furaha sana kwangu. Mimi nikiongea na wananchi, wanapotoa machozi, wakisema kwa furaha. Nanukuu machache:
"Nimefurahia sana nchi kuwa ilivyo na yenye hadhi" "Nilikuwa mvivu, ila sentensi ya asiye fanya kazi asile...,kwa kweli sasa biashara yangu inashamiri sana" "Niliishi kwa kutegemea pesa za ziada kazini, hata kutunga uongo. Kwa kweli sasa ninajua nini maana ya kubajeti na nina furaha sana bila kuishi kama mwizi" "Nilikuwa sibajali mke na watoto, kwa kweli michepuko ingeniua, pesa bamekula sioni faida. Sasa hivi mimi na mke tupo vizuri, nimekoma" "Kwa kweliii wajukuu zangu, Magufuli ametuweka vizuri walimu; tuna uhuru wa kufanya biashara zetu wenyewe nje ya kufundisha na maisha yapo bora. Huwezi ishi tegemea kikapu kimoja"
Ni mengi sana, nitaendelea
Shukurani sana
Rais jembe, imeweka historia nyingiiiii. Pigeni vigelegele wanawake.. wanaume pigeni miluzi..
Magufuli oyeeeeeeeee
Nalia kwa furaha.. tano tena.. kaa chini ndugu.. kaweke tiki kwa tanoooo tenaaaaaa
JPM 2020 [emoji817]
View attachment 1610080
Inaendelea posti #21.. oyeeeee
Ngoja niache mashindano kuna siku tutakutana pahala tuyajengeHapana.. wewe nitaendelea tu kukuwuliza maneno sijui maana yake unapoyaandika.. karibu ng'ombe.. mbuzi.. kondoo.. ni raha tupu hapa kijijini.. pokea [emoji169][emoji172][emoji169]
usibishane na watu walioharibika saikolojia mkuu, unaheshimika sana humuNgoja niache mashindano kuna siku tutakutana pahala tuyajenge
zile habari ni kweli mkuu maana Magu amelilia kusuguliwa na Sugu hadharani tena mbele yetu makada wa ccmDuu mwanaume anachekaje hivyo ? Au zile habari ni za kweli
[emoji1545][emoji1534][emoji1548]usibishane na watu walioharibika saikolojia mkuu, unaheshimika sana humu
achana na mental disorder people
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Huyu mtu akishinda wanaojiita wanyonge watalia na kusaga meno
HahahaaaDuu mwanaume anachekaje hivyo ? Au zile habari ni za kweli
usibishane na watu walioharibika saikolojia mkuu, unaheshimika sana humu
achana na mental disorder people
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ucheshi wako mpelekee Amsterdam, watanzania tunataka maendeleo tu. JPM kiboko yao
Nishamaliza kazi Mimi, jpm [emoji3581]Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule msaliti wa Nchi ameishakata tikiti ya kurudi kwao ubeligiji
CCM inaafutwa saa hii kila kona.
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]Nishamaliza kazi Mimi, jpm [emoji3581]
hahahaahha. Mmwambah wa. Mochwariiii....[emoji1545][emoji1534][emoji1548]