'Tarehe 8 kuna wazee watapimwa umri mpaka watapike damu'

'Tarehe 8 kuna wazee watapimwa umri mpaka watapike damu'

Andika list ya first eleven ya Simba, alafu andika list ya first eleven ya Yanga alafu pembeni andika umri wa kila mmoja kisha njoo tena uandike uzi au urekebishe huu
Andika wewe majina ya hao wazee wenu.
 
Timu yoyote kabla haijacheza na Yanga inakuwa timu bora kila eneo,lakini baada ya dk 90 kuisha itatafutwa historia ya ubovu wake wa miaka mitano iliyopita.

NB: Baada ya match ya tarehe nane hatutaki kusikia kuwa timu haina muunganiko na wala wachezaji kuzoeana.
 
kwa kasi ya jana na morali kwa kweli matumaini ni makubwa agost 8. wanasimba tujae uwanjani mtuwakilishe tusiopo bongoland
 
Kwa hii kasi ya umeme ya hawa 'Gen Z' wa Simba kuna wazee siku ya tarehe 8 watapimwa umri hadi mpaka wakimbie mechi.

Na kiufundi Simba ya sasa ipo aggressive sana, ipo na kasi sana mpaka wapinzani mapigo ya moyo yameanza kwenda mbio. Wanywa supu na wavaa vitenge jiandaeni kisaikolojia.
Una hakika?Una hakika?Una hakika?
 
Nakuonya usiamini sana Ulichokiona leo kwani leo kila Mchezaji morale yake ipo juu ili Kuwaonyesha Mashabiki alichonacho, kumuaminisha Kocha na Tajiri aliyekuwa juu kuwa hakukosea Kuwasajili. Mechi ya Simba na Yanga haitabiriwi na perfomance ya ama Simba Day au Wananchi Day kwani ni Game yenye Umafia mwingi sana wa Nje ya Uwanja.

Ila la kuhusu Wachezaji wa Simba SC kuwa Wepesi na Kasi nakubaliana nawe hivyo kikubwa Mimi na Wewe tuombee tu hii hali ( morale ) yao isishuke na kusiwepo tena na Mdudu Mtu wa Kuiharibu hii Timu yetu na basi Msimu huu nasi tufanye vyema Kitaifa na Kimataifa.

Mungu Ibariki Simba Sports Club.

Amen / Amina.
Ungesoma utangulizi ungeelewa. Nilisema 'kasi ya umeme' mobility ya wachezaji wa simba inanipa imani.
 
mashabiki wa simba ni sawa kabisa na mashabiki wa ali kiba washazoea shida na kujipa matumaini
Simba Tarehe 8 anashinda.Mmefanya kafara ya damu na kuwalisha watu supu,kilichotokea mashabiki wa Simba kununua supu pale Taifa kunywa kabla hawajaingia Hapo mipangoa yote imeharibika.Taarifa nilizonazo kule mitaa ya Jangwani wazee Wana haha Sasa hivi.
 
x.jpg

Kuna watu naona kama hii itajirudia tena msimu huu
 
Kwa hii kasi ya umeme ya hawa 'Gen Z' wa Simba kuna wazee siku ya tarehe 8 watapimwa umri hadi mpaka wakimbie mechi.

Na kiufundi Simba ya sasa ipo aggressive sana, ipo na kasi sana mpaka wapinzani mapigo ya moyo yameanza kwenda mbio. Wanywa supu na wavaa vitenge jiandaeni kisaikolojia.
Uzuri jf hakuna option ya kufuta uzi so tutafukua kaburi muda ukifika. Yanga tunaamini defense through offense kwahiyo hao kina mutala wanaokimbia na mpira hadi wanapitiliza uwanja mipira haitowafikia.


Cc. Bantu Lady
 
Pressure huwa mnajipa wenyewe.. Mnakuwaga na matumain makubwa na timu yenu kuliko uhalisia. Tena ningeshaur mkicheza na Yanga msicheze kma mlivyocheza jna kwamba mnapishana tuu, Kuna magep mengi sana mlikuwa mnaayaacha ambayo ni hatar sana kwa mpinzani kama atayatumia vizuri. Vijana wenu wakubal kubak nyuma na kutumia nafasi punde tu watakapo pora mpira wakimbie mbio kwenda kufunga
 
Wako vzr ila wanahitaji 1/2years kuwa vzr zaid
 
Back
Top Bottom