kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Timu yoyote kabla haijacheza na Yanga inakuwa timu bora kila eneo,lakini baada ya dk 90 kuisha itatafutwa historia ya ubovu wake wa miaka mitano iliyopita.
NB: Baada ya match ya tarehe nane hatutaki kusikia kuwa timu haina muunganiko na wala wachezaji kuzoeana.
Tutawapiga chuma tano