Andika wewe majina ya hao wazee wenu.Andika list ya first eleven ya Simba, alafu andika list ya first eleven ya Yanga alafu pembeni andika umri wa kila mmoja kisha njoo tena uandike uzi au urekebishe huu
Na atakufa kweli...Yao kwasi kadi nyekundu inamuhusu.Mutale hatoboi kwa jeshi yao kwasi ( mfia team)
😀😀😀Nakazia
Simba wanabeki na ukuta Mzuri yanga labda wapi the juu off target
Nani huyo Fernandez au?Muhasibu😂😂
Nan alikamia kiongozi?Game ya kawaida sana mmekamia APR sio Hawa naona ata coach hajatulia game ya kirafiki anarukaruka kama final ,hachkui round
Una hakika?Una hakika?Una hakika?Kwa hii kasi ya umeme ya hawa 'Gen Z' wa Simba kuna wazee siku ya tarehe 8 watapimwa umri hadi mpaka wakimbie mechi.
Na kiufundi Simba ya sasa ipo aggressive sana, ipo na kasi sana mpaka wapinzani mapigo ya moyo yameanza kwenda mbio. Wanywa supu na wavaa vitenge jiandaeni kisaikolojia.
Ni ngumu Gen Z wapo vizuriUsijekuukimbia uzi wako
Ungesoma utangulizi ungeelewa. Nilisema 'kasi ya umeme' mobility ya wachezaji wa simba inanipa imani.Nakuonya usiamini sana Ulichokiona leo kwani leo kila Mchezaji morale yake ipo juu ili Kuwaonyesha Mashabiki alichonacho, kumuaminisha Kocha na Tajiri aliyekuwa juu kuwa hakukosea Kuwasajili. Mechi ya Simba na Yanga haitabiriwi na perfomance ya ama Simba Day au Wananchi Day kwani ni Game yenye Umafia mwingi sana wa Nje ya Uwanja.
Ila la kuhusu Wachezaji wa Simba SC kuwa Wepesi na Kasi nakubaliana nawe hivyo kikubwa Mimi na Wewe tuombee tu hii hali ( morale ) yao isishuke na kusiwepo tena na Mdudu Mtu wa Kuiharibu hii Timu yetu na basi Msimu huu nasi tufanye vyema Kitaifa na Kimataifa.
Mungu Ibariki Simba Sports Club.
Amen / Amina.
Simba Tarehe 8 anashinda.Mmefanya kafara ya damu na kuwalisha watu supu,kilichotokea mashabiki wa Simba kununua supu pale Taifa kunywa kabla hawajaingia Hapo mipangoa yote imeharibika.Taarifa nilizonazo kule mitaa ya Jangwani wazee Wana haha Sasa hivi.mashabiki wa simba ni sawa kabisa na mashabiki wa ali kiba washazoea shida na kujipa matumaini
Dogo mimi ni timu Msondo ngoma.mashabiki wa simba ni sawa kabisa na mashabiki wa ali kiba washazoea shida na kujipa matumaini
Uzuri jf hakuna option ya kufuta uzi so tutafukua kaburi muda ukifika. Yanga tunaamini defense through offense kwahiyo hao kina mutala wanaokimbia na mpira hadi wanapitiliza uwanja mipira haitowafikia.Kwa hii kasi ya umeme ya hawa 'Gen Z' wa Simba kuna wazee siku ya tarehe 8 watapimwa umri hadi mpaka wakimbie mechi.
Na kiufundi Simba ya sasa ipo aggressive sana, ipo na kasi sana mpaka wapinzani mapigo ya moyo yameanza kwenda mbio. Wanywa supu na wavaa vitenge jiandaeni kisaikolojia.
Tajiri halaumiwi, dhambi zake atabebeshwa MangunguHalahala asijelaumiwa mo tu bwana tajiri🤣🤣🤣🤣