Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
- Thread starter
-
- #41
Timu yeyote itakayokubali kupishana na simba imeisha.Uzuri jf hakuna option ya kufuta uzi so tutafukua kaburi muda ukifika. Yanga tunaamini defense through offense kwahiyo hao kina mutala wanaokimbia na mpira hadi wanapitiliza uwanja mipira haitowafikia.
Cc. Bantu Lady
😂😂😂😂😂😂Tajiri halaumiwi, dhambi zake atabebeshwa Mangungu
TutakumbushanaNi ngumu Gen Z wapo vizuri
Tatizo lenu sijui huwa mnafikiria baada ya miaka mitatu hii timu itakuwaje. Kila mechi ina approach tofauti haimaanishi kisa simba kacheza vile na yanga atacheza hivyo hivyoPressure huwa mnajipa wenyewe.. Mnakuwaga na matumain makubwa na timu yenu kuliko uhalisia. Tena ningeshaur mkicheza na Yanga msicheze kma mlivyocheza jna kwamba mnapishana tuu, Kuna magep mengi sana mlikuwa mnaayaacha ambayo ni hatar sana kwa mpinzani kama atayatumia vizuri. Vijana wenu wakubal kubak nyuma na kutumia nafasi punde tu watakapo pora mpira wakimbie mbio kwenda kufunga
Mji wa moto!Simba Tarehe 8 anashinda.Mmefanya kafara ya damu na kuwalisha watu supu,kilichotokea mashabiki wa Simba kununua supu pale Taifa kunywa kabla hawajaingia Hapo mipangoa yote imeharibika.Taarifa nilizonazo kule mitaa ya Jangwani wazee Wana haha Sasa hivi.
Timu yoyote kabla haijacheza na Yanga inakuwa timu bora kila eneo,lakini baada ya dk 90 kuisha itatafutwa historia ya ubovu wake wa miaka mitano iliyopita.
NB: Baada ya match ya tarehe nane hatutaki kusikia kuwa timu haina muunganiko na wala wachezaji kuzoeana.
Sijakuelewa kabisaMuhasibu Jr in the making
Unajicho la mpira ,..umenena vyemaWatu wote wenye jicho na akili ya mpira waligundua kuwa Simba walikuwa wakipoteza mpira wanafanya haraka sana na wanakaba kwa kasi kurudisha mpira kwenye himaya yao, kitu ambacho hata kocha APR alikiri.
Mbinu hii ndio inampa credit kubwa sana Miguel Gamond sasa hapa atayekuwa na kasi ya ku retain position ndio atamtawala mwinzie siku ya tarehe 8. Advantage aliyonayo simba dhidi ya yanga kwenye hili eneo la kiufundi ni umri wa wachezi (overall) sasa watani msiingie na matokeo.
Ina balaa hiyoooo!Simba nyekundu na Simba nyeupe ,...hii Simba nyeupe ni nouuumaaaaa
Sawa ManaraHapa hakuna timu ya kuifunga yanga wala ata sale hakuna goli zitaanzia tatu kwenda juu tena bila maana sioni foward yakupita ukuta wa yanga wala beki ya kuzuia foward ya yanga. Final time Yanga 4-0 Simba.
Kabisa na iwe hivyoUnajicho la mpira ,..umenena vyema
Tutawachukua wachache kutoka Simba wekundu tuwaweke na Simba weupeIna balaa hiyoooo!
Tutaona mbeleni mbivu na mbichi, ni kawaida kwenye Simba day kusikia sifa kwa wachezaji na kocha ila ligi ikianza hali inakuwa tofauti.Watu wote wenye jicho na akili ya mpira waligundua kuwa Simba walikuwa wakipoteza mpira wanafanya haraka sana na wanakaba kwa kasi kurudisha mpira kwenye himaya yao, kitu ambacho hata kocha APR alikiri.
Mbinu hii ndio inampa credit kubwa sana Miguel Gamond sasa hapa atayekuwa na kasi ya ku retain position ndio atamtawala mwinzie siku ya tarehe 8. Advantage aliyonayo simba dhidi ya yanga kwenye hili eneo la kiufundi ni umri wa wachezi (overall) sasa watani msiingie na matokeo.
Kufungwa tunaweza kufungwa ila sio zile ambazo wakina Chama walikuwa hawakabi.Tarehe 08/08 utakuja na uzi mpya kuwa bado mnaunda timu ndiyo maana mmekula nyingi.