Nidhamu haiachi njia yake,sema walikuwa waoga. Ingekua nidhamu halisi tusingefika huku.Ni kweli kabisa mkuu, Enzi hizo kulikuwa na nidhamu na watu wanafuata sheria kweli kweli
Ila leo unajenga unavyotaka
Unaweza kukuta mtu anajenga kukwepa jua lisimchome asubuhi, na mwingine anaamua kuweka ukuta kwenye dirisha la jirani na bwana ardhi hana ubavu maana kapewa hela
Sasa hali inazidi kuwa mbaya siku hadi siku na kuna watu wengi wanaona sawa tu
Sheria hazifuatwi ni virugu tu sio nchi tena limekuwa soko
itakua mmebaki wachache tu nchini right?Heri ya siku ya uhuru wadau.
Nikikumbuka siku ya tarehe 09/12/1961 naona ni kama juzi tu kumbe ni miaka kibao imepita.
Nakumbuka siku hiyo tulivyochinja mbuzi nyumbani kusherekea uhuru, nakumbuka mvua kubwa ilivyonyesha mpaka kusababisha maji kujaa ziwa Victoria kupita kingo zake.
Kweli wakati ni ukuta.
Mkuu unakumbuka nini siku hii?
Kizazi kilichopita ama vilivyopita kukilaumu kizazi cha leo si sahihi,ni sawa na kumnyooshea mtu kidole kimoja ili hali vidole vinne vinakusonta wewe. kizazi ch leo kimetokana na kizazi kilichopita. Kama kilichopita ni kizazi kibovu automatically kinachofata nacho ni kibovu, hizo lawama hazina mantiki ila chain yake ni ndefu.Nje ya mada kidg
Kizazi hiki kimeshindwa kabisa kujenga nyumba kwa mpangilio ukicheki hapo juu nyumba za matope zimekaa kwa mstari
Hapana, vijana ndio wengi zaidi ila wazee nao wamoTunaanza na uongo na tutamaliza na uongo.... Hakuna mtu wa mwaka 61 hapo angalia hata muandiko unajifunza ni dogo wa 91 hapo
Kuna mdau kule juu alisema kama kuna uzi utajaa uongo basi ni huu, mie nakumbuka tulifanya sherehe kubwa sana kule kijijini kwetu, ni kumbukumbu isiyofutika miongoni mwa watanzania wengi tuliopo leo na tuliokuwepo ile sikuNilikuwa na miaka mitatu tayari.
Ulikuwa atoto kweli kweli😅