Tarehe 9-12-1961 ilikukuta wapi?

Nidhamu haiachi njia yake,sema walikuwa waoga. Ingekua nidhamu halisi tusingefika huku.
 
itakua mmebaki wachache tu nchini right?
 
Nje ya mada kidg
Kizazi hiki kimeshindwa kabisa kujenga nyumba kwa mpangilio ukicheki hapo juu nyumba za matope zimekaa kwa mstari
Kizazi kilichopita ama vilivyopita kukilaumu kizazi cha leo si sahihi,ni sawa na kumnyooshea mtu kidole kimoja ili hali vidole vinne vinakusonta wewe. kizazi ch leo kimetokana na kizazi kilichopita. Kama kilichopita ni kizazi kibovu automatically kinachofata nacho ni kibovu, hizo lawama hazina mantiki ila chain yake ni ndefu.
 
Nilikuwa na miaka mitatu tayari.
Kuna mdau kule juu alisema kama kuna uzi utajaa uongo basi ni huu, mie nakumbuka tulifanya sherehe kubwa sana kule kijijini kwetu, ni kumbukumbu isiyofutika miongoni mwa watanzania wengi tuliopo leo na tuliokuwepo ile siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…