redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Tatizo hawakufanya Pre match meeting ndi ilipelekea timu kuvaa jezi zinazo fanana . mwaka 1972 hakuna timu inaweza kucheza kwa kukosa jezi. Kwa hakika wewe mbumbu fc.Tunazungumzia uhaba wa vifaa. Kuwa miaka ya nyuma hakuna, sasa kama jezi zilifanana kwa fikra zako, si kuna jezi ya away na nyumbani.
Si angebadili rangi tu. Tatizo lipo pale pale uhaba wa vifaa vya michezo.
Ikiwa hujui hilo, utajua kweli kwanini mnaitwa Gongowazi? Au Ndala?