Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani mi mpenz wangu mbna hayupo ktk kundi lolote hapo kwan ye huona period after 30 dayz kuanzia 13/14 na kuziona tena mwezi ujao tarehe sawa na hzi.......msaada tafadhari
unafanya ivi, unachukua tarehe ya kuanza ku bleed, unajumlisha jumla ya mzunguko wako alafu unatoa siku 15, iyo ndio siku uko likely kupata mimba ya mtoto wa kiume, au ukifanya tendo siku 2 au 3 kabla ya siku ya 15 utapata wa kike. mf. unaanza tare 1 ku blead. na una mzunguko wa siku 28. unafanya 1+28-15= 14, kwaiyo unahesabu 1 ile siku unaanza kubleed hadi siku ya 14, ukichapwa tuu ni mashaaalaah!!!
Maelezo yako yanaonesha unataka mimba..... kwann unataka ubebe mimba wakati hujaolewa? Una malengo gani dada?Sante ...ila kuna kpnd uwa inatokea nahis nina mimba afu gafla na bleed nayo hii imekaaje!
Maelezo yako yanaonesha unataka mimba..... kwann unataka ubebe mimba wakati hujaolewa? Una malengo gani dada?
ana lengo la kuitwa mama
at age of 18 seriously?