Kupata mtoto wa kike au wakiume ni probabity na timing. Mkeo siku anayoanza kupata hedhi anza kuhesabu ile kwenu ni siku ya kwanza. Tendo la ndoa kuanzia siku ya 11, 12, na 13 kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kike na tarehe 14, 15, 16 na 17 kuna uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kiume. Siku ya 14 ndiyo siku ambayo yai lililokomaa hutolewa toka kt kifuko cha mayai (ovulation). Mbegu ya kiume ina XY chromosomes na yai lina XX. Wakati wa kutengeneza mtoto X moja toka kt yai huungana na X au y ya mbegu. Kama x ya mbegu ikiungana na x ya yai ikatoa xx wakike na kama y ikiungana na x ikatoa xy wakiume. Mbegu ya kiume ambayo y ina nguvu zaidi inaogelea haraka na inaishi muda mfupi (siku 2) na ile ambayo x ina uwezo mkubwa wa kuleta mtoto inaogelea taratibu inaishi muda mrefu(siku 3). Yai likitolewa siku ya 14 husafiri na siku 3-4 hufika kt mfuko wa uzazi. Hivyo kama mmedu siku ya 11,12 na13 hukuta mbegu zile zenye uwezo wa kutoa wakike zipo hai na zile za kutoa wakiume zimekufa hivyo mnafyatua wa kike. Na mkifanya kuanzia 14,15, 16, na 17 mbegu zenye uwezo wa kutotoa wa kiume zinaogelea haraka huku zikiacha zile zenye uwezo wa kutotoa wakike(ujanja kuwahi),hivyo mnafyatua wa kiume. Hands off!