Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 929
mpendwa,
tatizo hapo ni hormonal imbalance! (akina riwa wanelewa vizuri).
lakini kiukweli, katika hali ya kawaida, hiyo mimba inayoshika siku ya sita baada ya "kuona mwezi" haipo!
kilicho "possible" kwa huyo ndugu yako ni kuwa alishika mimba huko nyuma kwa "tendo la nyuma zaidi" hapa namaanisha kuwa, kibaolojia, mbegu ya mwanaume inapomwagwa ukeni, hukaa hadi zaidi kidogo ya saa 24 kabla haijafa na ikitokea yai likapevuka kabla hazijafa, basi mama atapata mimba. nina maana kuwa tendo la ndoa laweza kutokea mfano, jumapili usiku saa 23.00 na mtu akashika mimba jumanne usiku saa 22.59 kutokana na mbegu zilizomwagwa jumapili! watoto wa namna hii wengi wao huwa wa kike!
muhimu kuelewa kuwa, linapoingilia kati tatizo la timing imbalance kati ya oegesterone na progesterone, ndo hutokea ovulation ikatokea wakati ukuta wa mji wa mimba (uterus) unabomoka (menstruation discharge)! kwa hiyo fertilization inaweza kutokea huku kukiwa na kiwingu cha hedhi na siku chache baada ya hedhi, mimba ikatunga!
wapendwa, zingatieni kuwa mwanamke ni kiumbe kitakatifu kilichojaa rutuba, ukijihusisha na mwanamke, mkumbuke muumba wako!
mbarikiwe sana wapendwa
Glory to God!
tatizo hapo ni hormonal imbalance! (akina riwa wanelewa vizuri).
lakini kiukweli, katika hali ya kawaida, hiyo mimba inayoshika siku ya sita baada ya "kuona mwezi" haipo!
kilicho "possible" kwa huyo ndugu yako ni kuwa alishika mimba huko nyuma kwa "tendo la nyuma zaidi" hapa namaanisha kuwa, kibaolojia, mbegu ya mwanaume inapomwagwa ukeni, hukaa hadi zaidi kidogo ya saa 24 kabla haijafa na ikitokea yai likapevuka kabla hazijafa, basi mama atapata mimba. nina maana kuwa tendo la ndoa laweza kutokea mfano, jumapili usiku saa 23.00 na mtu akashika mimba jumanne usiku saa 22.59 kutokana na mbegu zilizomwagwa jumapili! watoto wa namna hii wengi wao huwa wa kike!
muhimu kuelewa kuwa, linapoingilia kati tatizo la timing imbalance kati ya oegesterone na progesterone, ndo hutokea ovulation ikatokea wakati ukuta wa mji wa mimba (uterus) unabomoka (menstruation discharge)! kwa hiyo fertilization inaweza kutokea huku kukiwa na kiwingu cha hedhi na siku chache baada ya hedhi, mimba ikatunga!
wapendwa, zingatieni kuwa mwanamke ni kiumbe kitakatifu kilichojaa rutuba, ukijihusisha na mwanamke, mkumbuke muumba wako!
mbarikiwe sana wapendwa
Glory to God!