Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Hakuna haja ya kuwatafuta maana hawapo!. Jamaa mmoja anaitwa karma, amewashughulikia mmoia baada ya mwingine!.
P
 
Pumbavu, biashara za magendo msiludie tena!
 
Ila kila nikukumbuka kuwa mke wa huyo katili na watoto wake wanakula pension na marupurupu kibao ya kodi zetu maisha yao yote najisikia hasira.
Familia ya watu wa aina hiyo ilipaswa kukiona cha moto katika maisha ikibidi hata kucharazwa bakora kwa makosa ya mume/baba yao ili iwe fundisho kwa wengine wawapo madarakani kutambua kuwa wakitenda ujinga basi wakiondoka kwa kufa basi moto wanawaachia watoto na mke

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sanamu tutamjengea baada ya kuvuta
 
Angekua shujaa asingezitema mali za chama Cha ushirika Nyanza alizozipata kimagumashi...
Yaani bongo fulu ujinga. Yaani jitu zima linatetea majizi yaliyoiba mali za umma. Halafu wakati huo huo hilo hilo pumbavu Tanzania linalalamika eti huduma mbovu za jamii na kuwalalamikia viongozi wa serikali wezi eti hawafai kuwa viongozi wakati huo huo linatete majizi yaliyoiba zamani yaani hakika bongo kwa kizazi hiki ukiwa kiongozi iba na yakilalamika yaue tu haya mapumbavu matanzania maana hayana akili za kujua umuhimu wa kiongozi muadilifu
 
Yeye sio dhalimu? Hajawahi kudhulumu mtu?
Tuache kumdhihaki Mwenyezi Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…