21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,280
- 2,814
Bora aliwawahi mapema maana angepotea huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bibiii jomoooon mboni kunisusa ivooo[emoji1] [emoji1]Njoo unisaidie kuwabadiki nepi wajukuu zangu.. jione eeeeh
good question!Sasa wee mjinga Magufuli anaingiaje hapa?
Why not?hao watakuwa ni polisi tu...usalama wa taifa huwezi kuwa na mbinu hizo za kizaman
Jinsi mambo yalivyo hili ndio nitakalo amini na si vinginevyo.Hiyo nayo ioneniView attachment 800180
Hivi hakumbuki alivyodhalilishwa na baadaye kugawiwa u-RC? Ngoja, mpaka atokwe damu masikioni.huyu malima anamtetea magu amuulize nchemba
hii nchi mkuuHivi hakumbuki alivyodhalilishwa na baadaye kugawiwa u-RC? Ngoja, mpaka atokwe damu masikioni.
Zacharia....the famous Zacharia.....pande zile anaogopa sanaUtamu kolea. Marefu yanakaribia kutuonesha ncha.
Kwa kweliNasubiri mtupe undani wa haya
JF oyeeeeee
Magufuli oyeeeeee