Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Frank Gotora,
Yaani leo wa upande wako( pengine fan wako) yamemkuta ndio unatupigia magoti tuungane tuache uvyama pembeni?? Mbona mnapokula keki ya taifa na kutuumiza wapinzani hiyo busara inakuwaga wapi?
 
Hivi

Hivi kwa kawaida magari ya serikali huwa yanajaza mafuta kwenye vituo vya watu binafsi?! Mbona hili sio jambo la kawaida kabisa?!
Mkuu hata mimi ndio jambo nililojiuliza tangu lini magari ya serikali yakajaza mafuta ktk vituo binafsi. Maswali ni mengi kuliko majibu
 
Kuna historia ya vituo vya mafuta kushambuliwa na majambazi,sifahamu kama huyo mkuu alihisi amevamiwa na majabazi..maana hawezi kubali kiulaini aibiwe.Ila kwa nini hawakumcheki kabla ya jua kuzama kama wana mashaka nae au wangemuita kwa OCD?
 
Inawezekana hata story yenyewe ikawa ni pure fabrication ili itumike kama pretext ya kuhalalisha jambo fulani!
 
Umeona sas mambo ya JF hizi habari zilikosa pakwenda tutayajua mengi sana JF mbalikiwe mmerudi
Mi mwenyewe nilikuwa nakosa zile za ufukunyufu nashangaa nchi inataka kuangamiza hili jukwaa lenye habar nyeti
 
Asante paskal sioni kama jamhuri watakuwa na nia ya kuendelea na hii kesi labda utumike ubabe tu.
Mtu yeyote anaweza kamata mhalifu soma CPA then unamkabidhi kwa Polisi ambaye atamkamata tena kisheria. Mayala pia ni mbumbumbu wa sheria mkuu!!
 
Mtu yeyote anaweza kamata mhalifu soma CPA then unamkabidhi kwa Polisi ambaye atamkamata tena kisheria. Mayala pia ni mbumbumbu wa sheria mkuu!!
Mkuu hebu tujirdhishe
Screenshot_20180701-225211.jpg
Screenshot_20180701-225217.jpg
IMG_20180701_225231.jpg
 
Back
Top Bottom