Tanzania pia inahitajika elimu kwa umma kuhusu usalama wa taifa, duties, responsibilities na modus operandi zao. Ofisa usalama wa taifa hawana mamlaka ya kuvamia popote na kumkamata mtu yoyote kwa nia ya kumhoji. Wanachotakiwa kufanya kama ni kufanya uchunguzi inapofikia stage ya kufanya arrest, then lazima washirikiane na jeshi la polisi.
Kwa wale wazee wenzangu ambao tulifuatilia ile kesi ya uhaini ya mwaka 1984, tulijifunza mengi kuhusu utendaji wa idara yetu ya usalama wa taifa na na maofisa wake haswa wale mashahidi W, X, Y na Z.
Enzi za Mwalimu Nyerere, hawa jamaa walikuwa siri, hata kuwajua ilikuwa issue, mimi mwenyewe wazazi wangu wote wawili walikuwa watu wa idara hii, nimekuja kujua niko Primary enzi za ile Kesi ya Mauaji Mwanza ya mwaka 1980!. Siku hizi kujulikana imekuwa sifa!, kitu kimoja muhimu sana kuhusu watu hawa, ni watu muhimu sana, na wanahitaji sio tuu kuheshimiwa, bali pia kujiheshimu na kuepuka exposee!, enzi za Mwalimu kulikuwa hakuna modern communications equipment's, sasa hivi zipo, kuna simu, mobile tracking devices, gprs, gps, etc, kwa nini wavamie rais bila usalama wa raia?!, japo taarifa za hili tukio bado hazijatulia, ila pia hawa jamaa zetu, nao pia sometimes ni binadamu, sio malaika, ndio maana hili tukio liliwahi kutokea kule nyuma
TISS ni Watekaji, Watesaji na Wauaji!. Wasijadiliwe na Bunge bali Wachunguzwe, Wafumuliwe!
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.