Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Hatimae wasiojulikana wamejulikana
Sasa oneni wasemacho mashuhuda! Jamani hawa wanasiasa watajenga chuki mbaya kati ya vyombo vyetu vya ulinzi na wananchi bure! Itafika mahali wakionekana wanajulikana kwa ubaya na mob justice inachukua nafasi yake.
Wa declare tuu kuwa hao ni maafisa usalama lakini walienda kutenda uhalifu hivyo serikali haihusiki ndio njia ya kukisafisha
IMG-20180702-WA0004.jpg
 
Ila watoa taarifa wa serikali.... duh aisee rationality yao na jinsi wanavyo establish cause-effect relation utadhani wengine hatujaenda shule![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku zote uongo hujitenga na ukwel ndyo maana wameshindwa kutengeneza movie inayoelweka
 
Kwani mpk sasa kuna mtz alikuwa hajui watekaji ni kina nani kwa kuangalia dotS tu.
Mungu si Athumani wataumbuliwa mpaka basi
 
WANATEKA KIZEMBE KABISA
AU HII MISSION IMEFELI KATIKA ZILE 100 WALIUA RAIA
Yaani siku hizi TISS sijui wamekuwaje. Mfanyabiashara huyo ambaye hana Intensive Combat Training anawashinda, siku wakikutana na Gaidi ambaye liko drilled in Extreme Combat watapona kweli ???

Nanshauri kazi hizi zifanywe tu na Military Intelligence hawa TISS wanazingua sana...Bwahahahaha, eti wakajisema kabisa sisi ni Usalama wa Taifa. Yaani kwa mwendo huu unadhania Mkulu ataacha kutafuta Ulinzi kutoka nje ya nchi kweli ??

Such an embarrassment......
 
Yaani siku hizi TISS sijui wamekuwaje.
Mfanyabiashara huyo ambaye hana intensive training anawashinda, siku wakikutana na Gaidi ambaye yuko drilled in extreme combat watapona kweli ???

Nanshauri kazi hizi zifanywe tu na Military Intelligence hawa TISS wanazingua sana...Bwahahahaha, eti sisi ni Usalama wa Taifa. Yaani kwa mwendo huu unadhania Mkulu ataacha kutafuta Ulinzi kutoka nje ya nchi kweli ??

Such an embarrassment......
HUENDA JAMAA NAYE ALISHA KUWA ANAWATISS MAPEMA BILA WAO KUJUA.
SIKU ZA NYUMA KUNA PICHA ZILITOKA ZA MMLIKI WA MABASI YA SUPA SAMI, WATU WAMEONA WAWE TAYARI.
 
HUENDA JAMAA NAYE ALISHA KUWA ANAWATISS MAPEMA BILA WAO KUJUA.
SIKU ZA NYUMA KUNA PICHA ZILITOKA ZA MMLIKI WA MABASI YA SUPA SAMI, WATU WAMEONA WAWE TAYARI.
Hata kama bwana...Yani TISS na Ujanja wao woteee wameshikwa pabaya sana na huyu jamaa. Miaka ya Mwinyi na Nyerere walikuwa wakikufuata mzee hata hatukusikii kabisa, yaani tunakuja kupewa taarifa tu kwamba umepotea tu. Lakini siku hizi, hahahahaha kila mtu anajua kuna mkono wa Serikali kabisa.
 
Mi nadhani kuna la kujifunza hapa kua watu mnaowasifu humu kila siku kumbe ni maboya mtu mmoja anawapa tabu.na mnasemaga huwa ni majasiri mno mbn mbele ya bastola wamefunguka identity zao
 
HAWA NDIO WALE WASIOJULIKANA, WALITAKA WAMSUPPA SAMMY, WAKAKUTA JAMAA YUKO VIZURI ZAIDI YAO. SASA WANAHAHA
Kumbe hua wanauwa watu ki hivo. Ila nadhani hapo issue sio ya kiofisi .au walienda kumpiga biti awape hela
 
Serikali haina kituo cha mfuta ndugu, kwa hili, jaribu kuongeza uwelewa kdg.
Pale Dodoma kuna kituo cha mafuta cha serikali. Ukimaliza shule ya st Gaspar upande wa kushoto kama unaelekea Dar
 
Hivi mke wa huyo Zakaria alifikia wapi na ile kesi yake ya uhujumu uchumi walivyotumia mali za chama kikuu cha ushirika cha mkoa wa Mwanza - Nyanza?
 

Hii habari yako naiamini sina uhakika kama ni sahihi ila naiamini kwa sababu maelezo yake yanajitosheleza kuliko ya mkuu wa mkoa wa Mara. Kwa ghafla tu atokee mmoja miongoni mwa watu awarushie risasi watu wa usalama wa taifa tena wakawa wanarushiana. Huu ujuha wa kupika pika taarifa halafu upishi hata hawahuwezi huu ni ubaradhuli wa namna gani?

Al majinun fununu( Uwenda wazimu upo wa sampuli nyingi)
 
huu msala utakuwa mtamu sana ukifika mahakamani hasa ile sehemu ya cross examination. Kuna maswali mtu anabaki bubu tu
Natamani siku hiyo niwepo Kwenye Jopo la mawakili wasomi ambao watapambana na mawakili wa serikali.
 
Hivi

Hivi kwa kawaida magari ya serikali huwa yanajaza mafuta kwenye vituo vya watu binafsi?! Mbona hili sio jambo la kawaida kabisa?!
Eti walishuka kukagua gari,then bw zakaria akaanza kuwarushia risasi,yaani mtu mzima na akili zake anatudanganya hivi hivi mbele ya camera jamani!!?
 
Magari ya serikali mara nyingi yanawekewa mafuta kule "GPSA" (Bohari)
Kwa ninyi wa Dar na miji mingine mikubwa mna bohari za GPSA. Huku wilayani hayo mambo hakuna. Gari za serikali zinajaza mafuta katika vituo binafsi, kwa makubaliano maalu ya kutumia vocha ama vitabu, then malipo baadae!
 
Back
Top Bottom